TO2004
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 540
- 218
Uzuri kwa maana gani
Kwa maana ya ubora na uimara
Uzuri kwa maana gani
5W40 ni nzito kuliko 5w30; kwa hiyo inapopenya kwenye sehemu ambazo inatakiwa ilainishe inabananisha zaidi vyuma husika badala ya kuvilaninish, na hivyo kuweka stress (mzigo mkubwa sana kwenye injini yako), jambo ambalo litaua sehemu nyingine za injini kutokana na kuelemewa na mzigo. Fikiria kama unatembea kwenye bwawa leye matope, utapita kwa urahisi katika bwawa ambalo tope lake ni laini kuliko bwawa ambalo tope lake ni kama udongo wa mfinyanzi.Kichuguu kuna tofauti gani kati ya 5W30 na 5W40. Na gari itapata madhara gani nikitumia 5W40? Gari husika ni IST imeshatembea 151000 KM.
Nakushauri chukua TOYOTA ni oil nzuri Sana AMINI NA JARIBU UTANAMBIANi oil gani inafaa kwa diff RAV 4 KILLTIME
Hizi zinauzwa wapi?Nakushauri chukua TOYOTA ni oil nzuri Sana AMINI NA JARIBU UTANAMBIA
Nashukuru sana Mkuu. Oils zinazotengenezwa na wauza mafuta kama Oryx, Oilcom etc za 5w30 zinafaa?5W40 ni nzito kuliko 5w30; kwa hiyo inapopenya kwenye sehemu ambazo inatakiwa ilainishe inabananisha zaidi vyuma husika badala ya kuvilaninish, na hivyo kuweka stress (mzigo mkubwa sana kwenye injini yako, jambo ambalo litaua sehemu nyingine za injini kutokana na kuelemewa na mzigo. Fikiria kama unatembea kwenye bwala leye matope, utapita kwa urahisi katika bwawa ambalo tope lake ni laini kuliko bwawa ambalo tope lake ni kama udongo wa mfinyanzi.
Kama zinafuata viwango basi zitafaa tu. Kiwango cha 5W30 ni cha kimataifa, sasa kama jamaa ni kanyabwoya tu wanapiga lebo ya 5W30 bila kufuata viwango vya 5W30 hilo litakuwa ni jambo jingine kabisaNashukuru sana Mkuu. Oils zinazotengenezwa na wauza mafuta kama Oryx, Oilcom etc za 5w30 zinafaa?
Kwangu Mimi kama muuzaji oil zinazotengenezwa na wauza mafuta mfano oryx, total, gp, na puma kwa maana ya castrol ndio oil bora ambazo zinafuata viwango vya kimataifa na wengi tutambue kwamba makampuni hayo makao makuu yake hayako hapa Tanzania hivyo chemical zake nyingi zinakua designed nje ya nchi na hapa wanakuja kuchanganya na kutoa kitu ambacho kimethibitishwa kama muuzaji wa oil ningependa watu watumie oil za makampuni hayo makubwa na kuachana na hizi oil ambazo zimejaa mtaani zijulikanazo kama za kupima ambazo ubora wake ni hafifu sana japokuwa zinatoka nje ya nchiNashukuru sana Mkuu. Oils zinazotengenezwa na wauza mafuta kama Oryx, Oilcom etc za 5w30 zinafaa?
Na ndo maana bei zake zimasimama kweli kweli maduka mengi ya ushwahilin hawaziweki hata dukani maana caton yake moja ni sawa na kuchukua mbili au tatu za sae 40Kama zinafuata viwango basi zitafaa tu. Kiwango cha 5W30 ni cha kimataifa, sasa kama jamaa ni kanyabwoya tu wanapiga lebo ya 5W30 bila kufuata viwango vya 5W30 hilo litakuwa ni jambo jingine kabisa
Bila shaka ari yako sasa hivi haina hata nguvu za kutosha, na inaweza kuelemewa ikashindwa kupanda mlima mkali. Sababu mojawapo kubwa ni kuwa fuel pressure regulator huenda imechoka sana kwa hiyo mafuta yanayoingia kwenye injector ni mengi sana kuliko kiasi kinachotakiwa, na hivyo cylinder zako inachoma mafuta mengi zaidi kuliko hewa, yaani Air-Fuel ratio ni mbaya.Niaje wakuu, nina ist yangu old model cc 1490 nikiweka petrol ndani ya gari kunanuka mafuta sana na pia hayakai consumption imekua kubwa sana nahs kuna leakage sehem but kabla sijamuita fundi nataka kujua tatzo zaid linaweza kuwa nin? maana mafundi wengi ni wapiga ramli, niko Arusha kwa sasa na kama kuna mtu anajua fundi mzur arusha plz niunganishe naye
kwahyo mkuu cha kufanya ni nin ili tatizo liishe?Bila shaka ari yako sasa hivi haina hata nguvu za kutosha, na inaweza kuelemewa ikashindwa kupanda mlima mkali. Sababu mojawapo kubwa ni kuwa fuel pressure regulator huenda imechoka sana kwa hiyo mafuta yanayoingia kwenye injector ni mengi sana kuliko kiasi kinachotakiwa, na hivyo cylinder zako inachoma mafuta mengi zaidi kuliko hewa, yaani Air-Fuel ratio ni mbaya.
waambie mafundi wako wakague fuel pressure regulator hasa kama ni kweli kuwa gari limepungua nguvu, linakula mafuta mengi, na vile vile unasikia harufu ya mafuta ndani ya cabin. Ikiwezekana wabadili kabisa hiyo fuel pressure regulator iliyopo sasakwahyo mkuu cha kufanya ni nin ili tatizo liishe?
Mwenye uzi yupo lunch....
Me nakushauri tumia Total Quartz 9000 5w 30 au 10W 30 au 5W 40 kwa mqzingira ya Mbeya na umri wa gari siyo mbaya...
Ila zaidi tumia 5W 30... Hii kama umefunga oil filter genuine unaweza kwenda mpaka km 8000.
Castro ni nzuri sema zina soko sana hivyo kuna feki...kuwa makini..
Haiwezekani wakose hiyo oil labda sio puma petrol station? Mkoa gani umeenda?Leo nimezunguka baadhi ya petrol stations za Puma kutafuta Castrol Oil nimekosa.
niliwahi pata shida kama yako kipindi flani,fundi alicheki nozeli wanaita alisafisha pamoja plug check mkuuKichuguu,
Mkuu nina gari dogo la 1.5L, kwa kawaida likiwa idle mshale wa RPM unakua chini kidogo ya moja.
Leo nikiwa nimesimama kwenye foleni limenizimikia. Nikaliwasha likawaka na kuweza kuondoka bila shida yoyote.
Gari halikuwa lime-overheat, sikua nimewasha AC, tank lilikua chini kidogo tu ya nusu.
Level ya coolant, oil zote zipo sahihi na sehemu liliponizimikia ni tambarare. Tatizo linaweza kuwa nini? Maana kitu pekee nilichobadili hivi recently ni redio na nimenotice saa ya kwenye redio ilireset baada ya kutokea hivyo.