deecharity
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 931
- 502
Ni kweli; magari mengi ya zamani yalikuwa hayana tatizo la kukanyaga brake kabla ya kustart, yalikuwa yanakubali tu iwapo upo kweny parking position. Lakini magari ya siku hizi nadhani baada ya 2005 au 2006, hayakubali kustart iwapo hutabonyeza breki; vile vile huwezi kuzima gari na kuondoa ufunguo kabla ya kuliweka kwenye parking position wakati magari ya zamani yalikuwa yanaruhusu tu.
Ahsante kwa kunielewesha.