Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,510
- 9,349
Mkuu Kichuguu na mimi leo nina jambo geni kidogo nimeliona linanitokea kwenye gari....
Gari linaendesheka Vizuri kama kawaida ila nikiwasha AC gari linapungua nguvu sana....nikizima tu AC, hapo hapo unasikia gari linakuwa lepesi sana na linachanganya faster...
Ni ishu mpya kabisa kuwahi kunitokea...
Shida yaweza kuwa ni nini..?
Gari Nissan Note 2005, HR15 Engine, CVT gear box....
Gari linaendesheka Vizuri kama kawaida ila nikiwasha AC gari linapungua nguvu sana....nikizima tu AC, hapo hapo unasikia gari linakuwa lepesi sana na linachanganya faster...
Ni ishu mpya kabisa kuwahi kunitokea...
Shida yaweza kuwa ni nini..?
Gari Nissan Note 2005, HR15 Engine, CVT gear box....