Mvumbo
JF-Expert Member
- Aug 20, 2015
- 3,441
- 11,936
Shukran sana mkuu maana uswahilini mafundi waliniambia nibadilishe piston ring eti haitakiwi oil iruke gari ikiwashwa.Inawezekana umeweka oil nyingi sana. Vile vile kumbuka ile dip stick ndicho kifuniko imojawapo cha oil; kwa hiyo ukikitoa ina maana umefunua sufuria wakati oil inatokota, na iwapo sump imejaa kuliko kiasi ni lazima oil hiyo itaruka nje. Katika kucheck engine oil, inabidi injini iwe imezimwa. Dip stick ile ina alama mbili, ya asubuhi kabla hujawasha gari ni cold level, na ya wakati wowote mara baada ya kuzima gari ni hot level,
Hata hivyo chombo ipo safi haina hitilafu yeyote.