Asante kwa fusra hii
Mdogo wangu wa kike alisoma O - Level shule ya kawaida, akafanya mthani kwa mfumo wa NECTA, akapata Div 1 (9), baadaye wakati akijiandaa kuingi kidato cha 5 akapata scholarship shule moja binafsi lakini inafuata mfumo wa IB, ameshamaliza kidato cha 6 kwa mfumo wa IB na sasa anataka kujiunga na chuo na amepanga kusomea udaktari.
a) Anaanzia wapi? HESLB, TCU, au chuoni
b) Alama zake au matokeo yake yako kwenye mfumo wa IB, je, mfumo huu unatambulika kwa kujiunga na chuo cha hapa Bongo>
Mdogo wangu wa kike alisoma O - Level shule ya kawaida, akafanya mthani kwa mfumo wa NECTA, akapata Div 1 (9), baadaye wakati akijiandaa kuingi kidato cha 5 akapata scholarship shule moja binafsi lakini inafuata mfumo wa IB, ameshamaliza kidato cha 6 kwa mfumo wa IB na sasa anataka kujiunga na chuo na amepanga kusomea udaktari.
a) Anaanzia wapi? HESLB, TCU, au chuoni
b) Alama zake au matokeo yake yako kwenye mfumo wa IB, je, mfumo huu unatambulika kwa kujiunga na chuo cha hapa Bongo>