KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,171
- 56,754
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyoeleza, kifaa ni simu (smart phone).
Wengine hatupendi kupakua movie ila kuangalia tu online, tatizo ni kila muda movie inagoma hakuna hata raha ya kuangalia.
Nimejaribu kutumia app ya movie HD ndo kabisa.
Msaada wajuzi
Wengine hatupendi kupakua movie ila kuangalia tu online, tatizo ni kila muda movie inagoma hakuna hata raha ya kuangalia.
Nimejaribu kutumia app ya movie HD ndo kabisa.
Msaada wajuzi