Je ni printer aina gani inafaa kwa biashara kama stationary na phocopier aina gani inafaa kwa biashara km stationary
Pole miye nataka kusahihisha neno "STATIONARY" hili sio "STATIONERY" la kwako lilipasa kuwa hili la pili.
Ushauri wa ndg Fakhi sio Mbaya sana.
Ila Epson px660, hazipo sokoni kwa sasa, badala yake kuna, L800, xp704, na Xp705. Pia kuna p50, Hizo zote , pia kuna 1410, ambayo ni A3.
Kwa Konica Minolta Bizhub, nakushauri ununue c364, maana bei haipishani sana na c230. Pia spare Zake na consumable material zipo.
Kumbuka c230 inatoa karatasi 23/m.
Na c364, inatoa karatasi 36/m full color. Pia iko na resolution Nzuri sana zaidi ya hiyo c230.
epson p50 mpya bei gani?Ushauri wa ndg Fakhi sio Mbaya sana.
Ila Epson px660, hazipo sokoni kwa sasa, badala yake kuna, L800, xp704, na Xp705. Pia kuna p50, Hizo zote , pia kuna 1410, ambayo ni A3.
Kwa Konica Minolta Bizhub, nakushauri ununue c364, maana bei haipishani sana na c230. Pia spare Zake na consumable material zipo.
Kumbuka c230 inatoa karatasi 23/m.
Na c364, inatoa karatasi 36/m full color. Pia iko na resolution Nzuri sana zaidi ya hiyo c230.
Wadau niaje? Ebwana npeni mwangaza kidogo jnsi ya kupata wino wa Epson xp 600 Maana nilijaribu kurefil kwa kutumia zile cartrg zake ikagundua so ikaonesha 'error' plz yr help!
Je ni printer aina gani inafaa kwa biashara kama stationary na phocopier aina gani inafaa kwa biashara km stationary
upo wapi?
Hivyo vifaa kwa ajili ya color printing au black and white printing? Bajeti yako ipoje