Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,157
- 2,078
- Thread starter
- #21
Asantee dadanguTumia Vaseline lip therapy..
Asantee dadanguTumia Vaseline lip therapy..
Weka pichaWakubwa nlipitia sana life la Msuba na Chiga nyingi wakati nikiwa na saka life.
Sasa yale maisha nisha ya kacha ila kinacho ni boa lips zimeungua zimekuwa nyeus flan hivi kiasi kwamba kila mtu akiniona ananiambia vipi unavuta bangi asee huwa na boreka kinyamaaaa.
Au ukipiga story ukicheka utaskia mtu anaropoka pembeni kashakula majani ya bob.
Ila shida ni hizi lipsi nyeusi.
Sa naomba kupata msaada nafanyaje...??
Nipate lipsi zisizo onesha kula msuba
Alisikika jamaa mmoja anaomba ushauri kuhusu lipsi zake.
Hii haitafanya kazi yoyote...apo mkuu inabidi utafute zile cream za mdomoTumia Vaseline lip therapy..
Lips nyeusi ni kwamba melanin ni mingi na waafrika tumebarikiwa melanin lakini pia kupigwa na jua kunafanya ziwe nyeusNilishawahi kusikia eti bangi na sigara zinasababisha sana lips kuwa nyeusi,mf.huku Africa wapo wengi mbona wazungu lips zao haziwi nyeusi, au baadhi ya Black Americans wana lips za pink wakati wengi wanaongoza kwa kuvuta au kuna vitu wanapaka