TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 927
- 1,274
Habari za muda huu,
Kwa sasa nipo darasani nafundisha shule za awali, hapa darasani kuna wanafunzi kama wawili, yaani nimetumia mbinu zote za ualimu ili hawa watoto waweze kukumbuka masomo darasani, yaani unamfundisha leo, kesho akija amesahau.
Kuchapa sio njia mbadala ya yet kuelewa japo nimejitahidi kuchapa, lakini sikupata mafanikio.
Je, walimu na wanataaluma kwa ujumla nitumie mbinu ganii ili niweze kufanikisha kuwasaidia hawa watoto wetu? Naamini nitapata msaada kutoka kwenu.
Asanteni
Kwa sasa nipo darasani nafundisha shule za awali, hapa darasani kuna wanafunzi kama wawili, yaani nimetumia mbinu zote za ualimu ili hawa watoto waweze kukumbuka masomo darasani, yaani unamfundisha leo, kesho akija amesahau.
Kuchapa sio njia mbadala ya yet kuelewa japo nimejitahidi kuchapa, lakini sikupata mafanikio.
Je, walimu na wanataaluma kwa ujumla nitumie mbinu ganii ili niweze kufanikisha kuwasaidia hawa watoto wetu? Naamini nitapata msaada kutoka kwenu.
Asanteni