Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,031
Wakuu ni mbinu gani nitumie ili kuondoa makunyazi usoni!?maana kila time naonekana kama nimekasirika kumbe sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijaribu kuufanyia uumbaji featuringWakuu ni mbinu gani nitumie ili kuondoa makunyazi usoni!?maana kila time naonekana kama nimekasirika kumbe sio
Una miaka mingapi mzee kaka???
makunyanzi hayatokagi mkuu.
Mh mwanaume kua na sura ya kibabe ni given. Usione aibu bro, mi walinisema mwisho wamezoea.
Wakuu ni mbinu gani nitumie ili kuondoa makunyazi usoni!?maana kila time naonekana kama nimekasirika kumbe sio
Kula mboga mboga za majaniWakuu ni mbinu gani nitumie ili kuondoa makunyazi usoni!?maana kila time naonekana kama nimekasirika kumbe sio