Napenda kufahamu nitumiapo kondomu huchelewa kufika kilele tofauti nisipo tumia kondomu huwahi kufika kilele kwanini?
Napenda kufahamu nitumiapo kondomu huchelewa kufika kilele tofauti nisipo tumia kondomu huwahi kufika kilele kwanini?
Labda kwa sababu you're a SWEET Boy.... Hv mwanaume kamili utajiitaje SWEET? Kwahiyo mtaani ukiitwa SWITIIIIIIIIIIIII, unafurahia tu?
Jibu ni rahisi...uume una mishipa ya fahamu ambayo husense ule mgusano/msuguano kati ya uume na uke (au mkono, mdomo/ulimi), na hiyo ndio inapelekea ile raha na kufika mshindo/kilele. pia mishipa hii ya fahamu husense na joto lile la mle ndani mwa uke ambayo pia huongezea kwenye kufika mshindo mapema.<br />
<br />
Ukivaa condom..ina maana ile hali ya kugusana/suguana kati ya uume na uke, na ile hali ya kuhisi joto la ukeni inapungua, hivyo its logic muda unaochukua kufika mshindo utakuwa mrefu zaidi.
Mpaka uvute picha ya demu mwingine mzuri zaidi ndio ufike.
Mi ndio maana niliamua maisha yangu kumwachia Bwana Yesu