Translator
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 286
- 297
Ukienda kwenye sekta ya maakuli utasikia hapa kwetu watu wanasema
"Nitengenezee nyama roast."
Au
"Tuna wali roast"
Akileta inakuja imekaangwa!
Lakini "roast" maana yake nini?
Ni kuchoma kwenye makaa ya moto kama vile viazi au nyama
lakini sio kukaanga kwenye mafuta.
Kukaanga ni "frying" sio "roasting"
Anyway, ndio maisha.
"Nitengenezee nyama roast."
Au
"Tuna wali roast"
Akileta inakuja imekaangwa!
Lakini "roast" maana yake nini?
Ni kuchoma kwenye makaa ya moto kama vile viazi au nyama
lakini sio kukaanga kwenye mafuta.
Kukaanga ni "frying" sio "roasting"
Anyway, ndio maisha.