133 Million.. hahahaha aiseeeSasa bei yake kwa leo balaaaaaaaaaa
Umenena vyema......na pia umenikumbusha mbali Sana mkuuMaana yake ni kwamba kwenye financial markets hakuna price ambayo ni too high or too low... Price ina move popote..
Kuna watu huwa wanadhani price ikiwa ndogo sana ndo opportunity ya kununua.. ama ikiwa kubwa sana basi inatakiwa kuuzwa.. sivo ilivo
Nilikuwa nimeanza project yangu ya crypto nikawa nimetoa na tokens kwenye blockchain ya Ethereum lakini baada ya like tangazo la CB sikuendelea tena.Washamba tu!
Bado sana, Bitcoin revolution ndio imeanza na itaingia kila kona ya dunia sio kwenye currency tuu, kumbuka is not about bitcoin ni technology behind bitcoin yaani BLOCKCHAIN, kila kitu kama Government's, banking and financial system, social medias companies, corporations etc kwa ufupi anything centralized will be decentralized na hapo ndio blockchain magic inavyofanya kazi, anyway cha maana mnachoweza kufanya ni kujifunza kujua blockchain inavyofanya kazi na kuielewa in order to take advantage of it, imagine kutumia talent then kuimiliki 100% bila kuwa na wasiwasi wa kuchakuchuliwa na kuiuza bila kugawana pesa na youtube,sony or wasafi, imagine voting bila kuwa wasiwasi wa kura yako kuchakachuliwa na CCM na kuwa na uhakika 100% kura yako imeenda kwa yule uliyemtaka , internet ilituletea revolution namna ya kutumia information zetu na makampuni kama google, facebook etc yakazaliwa, sasa blockchain itakuwa about digital value/money and leaderless na haitampendelea yeyote, yule wa Dar au Silicon Valley wote mtakuwa na chance sawa..go educate yourself uelewe materials mengi sana youtube, google etcMkuu somo lako zuri kabisaa, bit coin tumeshachelewa, ila kwa sasa macho yote tuyaelekeze kwenye USD Coin.
The future is there
Logic ya kununua bitcoin ni kuihold hadi pale itakaporudisha investment yako, kushuka ni temporarily ila kupanda ni lazima.. kama sio mvumilivu ni bora ukaweke pesa yako benki!Sorry bro, Bitcoin hiyo ilipanda straight au ilikuwa inapanda nakushuka?? Means katika upandaji wa hiyo Coin kuna watu walipoteza pesa pia
Hii coin imetengenezwa kubaki hivo hivo tu haipandi wala kushuka......kama una hela invest hata kwa BTT,SHIBA INU,WINK na HOLO kwa usd 10,...unaweza tengeneza us 100 by 2025,Mkuu somo lako zuri kabisaa, bit coin tumeshachelewa, ila kwa sasa macho yote tuyaelekeze kwenye USD Coin.
The future is there
Not necessary.....investing in bond,stocks etc......haufanyi services yeyote market ikikua nawe pesa yako inakua......2005,mzee alininunulia hati fungani U.T.T kwa elfu 30,2015,akanipa cheque nikaenda kutoa laki 5,sijafanya kazi yeyote ile.....tuna mengi ya kuwafundisha watoto wetu kuhusu pesaPanda mbegu ndugu, huko mbeleni majibu utakuja kuyapata..
Theory ya utajiri ni moja tu "If you want to be rich, u have to produce goods or services"
Hayo yenu mengine fanyeni, ndio yaleyale tu kama yule Mngoni aliyekuwa anawadanganya ananunua mahindi gunia elfu 70 anauza elfu 40..
Always, losers like shortcuts...
Yaani fasta tuKwahiyo sasa hivi unaweza kuuza Bitcoin zako ukawa na Milioni hizo mkononi fasta tu cash ?
Nina pie kama 500,sasa mdogo mdogo nasikiliziaJuzi kuna mdau alileta thread ya Pi Coin kwa sasa ni bure kabisa. Ina zero value at the market ipo katika phase ya pili ya development. Unachotakiwa ni kuanza kumine mpaka itakapo ingia phase ya tatu ndio watasimamisha mining na kua na value. Ila watu watapotezea 5-10 years later tutaishia kusema ni utapeli tu kumbe wenzako waliinunua wakati ikiwa haina thamani.
Inaweza kugonga hata 200M in two weeks, ila ukitaka kuibadili iwe pesa utaishia kujiharishia, Kuna teacher mmoja alistaafu wakamshawishi apeleke mzigo wote Bit Club International, mnajua kilichotokea...View attachment 1666665
Inaelekea kugonga 80M, ipo 79+ now, i guess in three to five days inaweza kufika 100M...
Jana core team imetangaza mwakani open mainnet inaanza rasmi,watu toka mwaka juzi tunachimba,Kuna mtu atakuja kutuita matapeli hapa hapa jamii forumJuzi kuna mdau alileta thread ya Pi Coin kwa sasa ni bure kabisa. Ina zero value at the market ipo katika phase ya pili ya development. Unachotakiwa ni kuanza kumine mpaka itakapo ingia phase ya tatu ndio watasimamisha mining na kua na value. Ila watu watapotezea 5-10 years later tutaishia kusema ni utapeli tu kumbe wenzako waliinunua wakati ikiwa haina thamani.