Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,248
- 6,264
Ulaaniwe ww unayetaka kuangamiza maisha ya vijana kwa kukwapua hela zao.
HahahaAcha akuone tu
Mi Wala Sina wasi wasi
So is/was Sarafu ya Rupia ya Mjerumani na Tulips(Flowers) Huko Udachi.Yaani mbongo ni mtu mbishi huku hata details za jambo analolibishia hana..
BTC ni means of exchange ambayo iko decentralized,thamani yake inaweza kupanda au kushuka na hapo ndo fursa ilipo hakuna fursa nyingine ziada ya hapo..
Mfano mtu aliyenunua BTC moja ikiwa 11m tsh sasa hivi anaweza kuuza hiyo BTC yake 76m tsh..But again ni risk maana hujui kama itapanda au itashuka,sasa ukiyajua haya yote utapeli unatokea wapi kama wewe kweli una akili?
Happy New Year Bwana DarmianYaani mbongo ni mtu mbishi huku hata details za jambo analolibishia hana..
BTC ni means of exchange ambayo iko decentralized,thamani yake inaweza kupanda au kushuka na hapo ndo fursa ilipo hakuna fursa nyingine ziada ya hapo..
Mfano mtu aliyenunua BTC moja ikiwa 11m tsh sasa hivi anaweza kuuza hiyo BTC yake 76m tsh..But again ni risk maana hujui kama itapanda au itashuka,sasa ukiyajua haya yote utapeli unatokea wapi kama wewe kweli una akili?
Yaani mbongo ni mtu mbishi huku hata details za jambo analolibishia hana..
BTC ni means of exchange ambayo iko decentralized,thamani yake inaweza kupanda au kushuka na hapo ndo fursa ilipo hakuna fursa nyingine ziada ya hapo..
Mfano mtu aliyenunua BTC moja ikiwa 11m tsh sasa hivi anaweza kuuza hiyo BTC yake 76m tsh..But again ni risk maana hujui kama itapanda au itashuka,sasa ukiyajua haya yote utapeli unatokea wapi kama wewe kweli una akili?
Covid19 kuna namna nahisi ime-influence hili..View attachment 1666606
Inaelekea kugonga 80M, ipo 79+ now, i guess in three to five days inaweza kufika 100M...
"stimulus" iv ni trader kwel wwCovid19 kuna namna nahisi ime-influence hili..
Umedanganywa sio account yakeOntario ana bilioni moja na ushee za kibongo ni hatari
120M+ nice gues!View attachment 1666665
Inaelekea kugonga 80M, ipo 79+ now, i guess in three to five days inaweza kufika 100M...
Mkuu Naantombe Mushi naomba nihoji, mie nakuelewa yote uliosema hapo juu maana ni mdau tangu 2017 huko, nina taarifa sahihi kwenye masoko ya fedha. Nimeshiriki kwenye vingi (nkimaanisha Equities, Cryptos, Forex na kidogo sana kwenye Futures), swali ni hili, kwa nini unadhani Covid-19 ita trigger Central Banks kufanya Quantitave Easing? Kwa ufahamu wangu japo si mchumi, QE programmes huwa zina devalue local currency kwa malengo mbalimbali ya kukuza uchumi lakini ikiwemo hilo la kuongeza exports, as their products now become cheaper than before na hivo, encouraging international trade. Sasa ilihali hali ya biashara si nzuri kutokana na baadhi ya nchi kuwa kwenye lockdown, sasa je kuna haja kweli ya devaluing the currency while hata manufacturing imedorora?!Imeweza ku break USD20K ambayo ilikuwa ni prevuous all time high.. so possibility ni kwenda up..
Halafu ukumbuke watu wanakimbilia kwenye cryptos kwa sababu hii covid crisis ime trigger quantitative easing ambayo impact yake inaweza kushusha thamani za hizi fiat currency.. kwa hiyo watu ni kama wanaji protect kwa kuiveat kwenye cryptos
Nilisikia kama kwenye mwezi wa 8 mwaka 2020 kuwa biashara ya crypto currency hapa Tanzania imepigwa marufuku na CB. Kuna waraka ambao ulitolewa na BOT, kipindi kile baada ya kufungiwa Bureau de Change nyingi ambazo walidai hazikuwa na vigezo. Hii imekaaje mkuu au ni doing at your own risk.Me natumia Sana local bitcoin kuuza bitcoin km sitaki enda bank. Ila km Nina hitaji bank basi nauza kwa advanced Cash yaani kitu faster kwenye account yangu ya CRDB salio linasoma.
Niwaambieni tu kuwa kwenye cyrptocurrency Kuna super profit. Me Habari za forex nilishaachaga kitambo huku maisha yapo kiukweli semea Hakuhitaji kukurupuka.
Na pia usiwe mvivu wa kusoma hapo cyrptocurrency utaona km mteremko
I'm sorry to say this, hii ni kazi ya kijinga. Nenda platform inaitwa Udemy. Wana course kibao za Cryptocurrency, some free of charge, some zinauzwa. Nenda hapo ukajifunze walau kesho na kesho kutwa uje uwekeze kwenye coins zenye kuweza kuwa na faida mbeleni.Kuna Cryptocurrency ambayo ipo katika development phase bado haina thamani na ipo for free hopefully after a year inaweza kua na thamani. Kwa sasa unachotakiwa kufanya ni kumine by login in katika platform yao once after every 24 hours. Although it's boring kumine kitu ambacho hakina thamani kwa muda mrefu but uzuri ni kua you have nothing to lose, mpaka hapo itakavyo ingia market ndio utajua thamani yake
Kwa navojua, BTC ni Cryptocurrency.So is/was Sarafu ya Rupia ya Mjerumani na Tulips(Flowers) Huko Udachi.
Quick question.. is btc a product or a means for exchange!?
Washamba tu!Nilisikia kama kwenye mwezi wa 8 mwaka 2020 kuwa biashara ya crypto currency hapa Tanzania imepigwa marufuku na CB. Kuna waraka ambao ulitolewa na BOT, kipindi kile baada ya kufungiwa Bureau de Change nyingi ambazo walidai hazikuwa na vigezo. Hii imekaaje mkuu au ni doing at your own risk.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Humu ndani ukizungumza habari za Forex na Bitcoin, unaitwa tapeli. Iteni mpendavo lakini lazima niwachangamshe akili kidogo.
Bitcoin moja leo imefika USD 23,000 ( Kama Tzs 53 Million.
Na tarehe 16 March mwaka huu 2020, bei ya bitcoin moja ilikuwa inauzwa kwa Tzs 11 Million, maana yake ni kwamba kama uliwekeza milioni 11 mwezi march, sahiv ungekuwa na faida kama Tzs 42 Million.
Yaani ungeweza kabisa ku postpone kununua IST na ukarisk kwenye bitcoin, ungekuta sahiv unaongelea kununua Ford Ranger!!.
View attachment 1652679
Anyway, lengo la uzi wangu sio kuwatia watu machungu, najua kuna matomaso hapa wataniuliza, wewe umetengeneza faida ya sh ngapi mpaka sasa..?
Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwakumbusha kwamba, FINANCIAL MARKETS IS REAL..
Somewhere, someone is making good monies out of it, so sio vizuri kutukana hustlers wa kwenye bitcoin na forex.
Kama kitu hutaki, potezea kimya kimya.. ila usiwavunje watu moyo.
Hivo yani.