TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,744
- 21,194
Daaa kuna tatizo kwa wanaJF, hivi umeielewa hiyo comment kweli 😲 do!.Tatizo liko kwa mke sio kwa mme
Daaa kuna tatizo kwa wanaJF, hivi umeielewa hiyo comment kweli 😲 do!.Tatizo liko kwa mke sio kwa mme
Hio combination ni burudani kabisaMimi mke wangu ni bia na kitimoto
Huyo mke Lazima atakua kibinti Cha kichaga tu ndo wenye tabia za ajabu ajabu. Hawawazi kesho Bali mashindano ndani ya ndoa.Wakuu nimeanzisha biashara ya Duka rejareja na Saloon ya kiume. Changamoto iliyopo ni kelele za mke wangu. Pindi akijua na ku-access zilipo. Makelele Yake yatapeperusha wateja wote. Maana mwanzoni nilishawahi kumuanzishia biashara ya Duka la nguo na mini-super market vyote vikafa baada ya muda mfupi. Yeye Ni mtu wa kutokujali wateja (kufokea) na kuamini tu kwamba Mungu ataleta wateja kwa Maombi. Huko nyumbani naishi nae kwa machale maana yeye Ni mtu wa makelele tu. Sex ya manati, na huwa siinjoy, ila tunaenda kinafiki tu Hafikirii Kuna savings kwa ajili ya future (yeye Ni mtu wa kununua luxurious stuffs tu). Kila ukijitahid ku-save,. Tujenge yeye Hana habari, excuse kibao. Ooh yeye anadai ndio anategemewa kwao na siwezi kumtenganisha na ndugu zake.
Mke Ni KICHOMI
Umeshafikiria swala la kuachana na huyo mke??
Wewe dini gani?Nimeshawaza Mara kadhaa. Kikao Cha wazazi kilikaa bado akasisitiza yeye hasikilizwi maamuzi ya kufanya biashara naamua mm mwenyewe.. nilijaribu kueleza namna nilivyomfungulia biashara na zilipoishia (kufa) but bado akasisitiza source Ni mm. Hakika ndoa hii Ni Majanga. Najuta kuoa huyu mtu.
Huwezi kufanya biashara ya namna hiyo bila mke kujua. Kuna leo na kesho, Leo upo kesho yako haijulikani. Mkalishe chini umuelekeze hasara ya anachokifanya. Kwamba yeye akipata huduma mbovu dukani huwa anarudi tens duka lile?
Tena mwambie tabia yake ya mdomo sio tu inakimbiza wateja. Hata wewe utakimbia uende kwenye customer care murua.
Tatizo ni wewe. Hujasimama kama baba badala ufanye marekebisho unawaza kufungua biashara kwa siri
Huyo mke Lazima atakua kibinti Cha kichaga tu ndo wenye tabia za ajabu ajabu. Hawawazi kesho Bali mashindano ndani ya ndoa.
Kiukweli hata mm nashangaa. Mwanzoni enzi za uchumba alikua fighter tumeanza maisha ya chini mno. Baadae nikajiendeleza kielimu nikapata kazi kwenye NGO fulani inahusika na Public Health mshahara ukawa afadhali angalau naweza ku-save hata nikanunua Gari bila mkopo pia nimeanzisha biashara ndogo ndogo (Duka na saloon). Sasa nawaza Kujenga. Ila nadhani itabd iende kimya kimya.Mchaga gani asiyewaza kesho!!
Mpe talaka.