Pablo
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 2,441
- 2,541
Sikufanti artechtural wala sio ishu za pesa ishu tunacheza tu na unachokitaka mpaka tunapata design ya nyumba na structura yake wakat wa ujenzi afu una anza ujenziBoss nichek tu apo PM unipe maujuzi, Mimi ela cna ya kufanyiwa Architectural project jaman, au mwaga vitu apa jukwaan, au if ni DM nionyeshe bas ndugu yako kamjengo rahis ka ile pesa yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Itategemea na maeneo aliopo na upatikanaji wa malighafi.. maana mm nna kipanda cha 1 masta, 1 siting room na jiko nimetumia 7milion na bado finishing
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikufanti artechtural wala sio ishu za pesa ishu tunacheza tu na unachokitaka mpaka tunapata design ya nyumba na structura yake wakat wa ujenzi afu una anza ujenzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nkipaua slope itanisotesha??? Nijuze basNoma!!!
Hiyo scene ya kupauwa usiombee,inaweza kukutoa mvi kama hukutulia,ujenzi ni gharama sana ila bora huyu analo hilo wazo la kujenga kuna mwengine hadi muda huu wala hajui kama kuna siku itamhitaji awe na nyumba yake yeye mwenyewe.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Unajenga kijiji gani mama... isije tukawa tunabishana na wewe kumbe inawezekanaNyie mna pesa nyingi ndio maana mnaona haitoshi,mi hiyo pesa najenga nyumba na nahamia ,ukifikiria finishing za gaharama ndio haitatoshaa
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo budget ya nyumba nzima!Kama bajeti ndo hizi basi watu wangekuwa hawajengi. Bajeti ya chumba kimoja kama ya nyumba nzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa pesa uliyosema unayo mkuu nakushauri chagua flat roof hii gharama zake siyo kubwa sana.pitched roof inazingua sana kwenye gharama yaani siyo ajabu kupigiwa simu na fundi kuambiwa ongeza vifaa ambavyo havikuwa kwenye hisabu zako.
Ahhahahahaha bora utusaidie kumueleweshaChumba kimoja tofali 600??? Hiko chumba au godown! Alaf sio kila sehemu mchanga fuso moja ni 200000, huku nilipo fuso ni 35000
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahahahChumba tofal 600 tena za block ni holi LA mwamunyange kule mafinga kbs
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha futi kumi kwenye msingi ni tofali 28×4=112
Kabisa mkuu flat roofing ndo sawa kwa low cost budgetKwa pesa uliyosema unayo mkuu nakushauri chagua flat roof hii gharama zake siyo kubwa sana.pitched roof inazingua sana kwenye gharama yaani siyo ajabu kupigiwa simu na fundi kuambiwa ongeza vifaa ambavyo havikuwa kwenye hisabu zako.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Izo tofal ni blockCha futi kumi kwenye msingi ni tofali 28×4=112
Kozi nne za mwanzo tofali 112 pia.
Kozi 6 za juu wastani 20× 6= 120
TOfali juu lenta 28 ×3= 84
Cable na kuziba juu 72 hivi.
Wastani wa tofali 500 chumba chukuchuku.master ya kawaida tu inaweza kufika hizo 600, kwahiyo yuko sahihi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezi hata kidogo, mimi nimejenga nikiwa na milioni kumi na bado nyumba haijaisha asikwambie mtu ujenzi ni habari ingine, achaga tu wenye nyumba waendelee kuringa.
Sent using Jamii Forums mobile app