Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,207
- 128,005
inashangaza sana kumuona mshabiki wa Yanga anashauri kocha wa Simba awe nani.
Any way, mleta mada tulia sindano ikuingie vizuri.
Any way, mleta mada tulia sindano ikuingie vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga tatakuwa vizuri kuliko Simba msimu ujao, Yule strikerni hatari kwa mpinzani wetuYanga; Hii timu ya Simba kama inataka ushindi dhidi yetu sidhani kama inastahili kumpanga Meddie Kagere pale mbele. Kwanza huwa hajui kufunga, na uwezo wa kupiga Mpira vichwa hana kabisa. Yaani itakuwa hasara kubwa kumuweka hata benchi la akiba.
Simba; Pelekeni ujinga wenu huko, ebo!
Ushauri hauna mipakawewe ni CHADEMA? kama lah, sasa mambo yao wewe yanakuhusu nini?
Lissu mbele ya Rais magufuri ni mwepesi mno nikisema mwepesi namaanisha mwepesi kweli kweli kwahiyo hakuna anayemwogopa bwana sheikhMnamuogopa sana Lissu mkisikia tu jina lake mavi yanagonga chupi.
Sasa kama siyo hofu anawahusu nini? Fanyeni yenu waacheni Chadema wafanye yao.Lissu mbele ya Rais magufuri ni mwepesi mno nikisema mwepesi namaanisha mwepesi kweli kweli kwahiyo hakuna anayemwogopa bwana sheikh
Kama sio Chadema basi itakuwa ACT-Wazalendo.Membe na yeye anagombea kupitia chama gani?
Mataga shida yenu kubwa mnataka wapinzani nao wajibu mapigo ya mapicha dhidi ya viongozi wa ccm ili muwakamate muwasingizie hata kesi ya heroin na uhujumu uchumi. Tumewastukia mtego wenu.
Mbona unamsema mwenyekiti wa ccm?Sababu ni hizi
Agfadhali yeye alimtukana Kuna wale waliomyima matunzo Hadi akadhoofika afya, na wengi walimtanguliza mbele, wanafiki tu wanamsifu kinafikiYote tisa, kumi alimtukana Mwalimu Nyerere.
Hiyo ni turufu ya kumg'oa knock out.
Even in death, Mwalimu anamtoa nje Lissu.