Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Nipo chini ya uangaliz maalumu nisiingie kusoma makala ya JF hasa ktk jukwaa la siasa. Kila ninapozisoma napata uchungu mpaka nazimia.
Hii ni kutokana na uchungu nilionao. Pia kutokana na madudu ya serikal ya Kikwete.
Uangalizi utasitishwa pale mauzauza ndan ya nchi hii yatakapokoma.
Nawatakieni kila la kheri.
Hii ni kutokana na uchungu nilionao. Pia kutokana na madudu ya serikal ya Kikwete.
Uangalizi utasitishwa pale mauzauza ndan ya nchi hii yatakapokoma.
Nawatakieni kila la kheri.