amba.nkya
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 446
- 131
Wana JF, nina kila sababu kusema najisikia huru na faraja kila niniingiapo humu jamvini. Hii ni kutokana na jinsi ambavyo The Great Thinkers tunavyojadili hoja zinazokuwa posted humu bila kujali ni pumba, constructive na wakati mwingine kuchekesha na kufurahisha ili mradi kuongeza siku za kuishi.
Hata hivyo ni muda mrefu sasa nimewamiss baadhi ya members ambao kila nisomapo posts zao zinareflect nilichoandika hapo juu. Hao si wengine bali ni Dark City, Nyambala, Lekanjobe Kubinika, Sikonge, Bujibuji, Zero Brain, Rev. Masanilo na wengine mnaowafahamu ongezea...! Wapo au ?
Hakika leo nahitaji uwepo wao na iwapo hawatachangia kwenye thread hii, nitasikitika kutangaza rasmi vifo vyao humu jamvini, kwamba ingawa wako hai huku waliko lakini hatunao tena hapa JF, kwa maana ya kuwa wanachama wafu (Inactive JF Members).
Nawasilisha ..eep: :lol:
Hata hivyo ni muda mrefu sasa nimewamiss baadhi ya members ambao kila nisomapo posts zao zinareflect nilichoandika hapo juu. Hao si wengine bali ni Dark City, Nyambala, Lekanjobe Kubinika, Sikonge, Bujibuji, Zero Brain, Rev. Masanilo na wengine mnaowafahamu ongezea...! Wapo au ?
Hakika leo nahitaji uwepo wao na iwapo hawatachangia kwenye thread hii, nitasikitika kutangaza rasmi vifo vyao humu jamvini, kwamba ingawa wako hai huku waliko lakini hatunao tena hapa JF, kwa maana ya kuwa wanachama wafu (Inactive JF Members).
Nawasilisha ..eep: :lol: