Uchaguzi 2020 Nitashangaa Wafanyabiashara kumnyima Magufuli kura

Hakuna mfanyabiashara mwenye akili timamu atampa kula yake Jiwe,
Mazingira ya ufanyaji biashara yamekuwa magumu
 
Sijaelewa...

Kwahiyo korona ni related na dini za watu?

Virus vya ugonjwa vinafata mtu aliekua na cheti cha ubatizo wa kikikristu?Sijaelewa...
Namaanisha kuwa mungu ndiye upanga jambo ila pia muombaji wa kweli kwake upata na muombaji mnafiki hawezi kumpatia, ishu ya vifo vya korona imewaathiri sana mataifa yenye ushoga mwingi kama marekani,Italy,Brazil,nk hivyo najaribu kukujibu kuwa ni kweli mungu ndiye ametuwezesha kufanikisha ila pia rais ametuungoza kwenye hilo mbona kenya hawajufanya hivyo na hayo mataifa yaliyopoteza maelfu ya watu.
 
Hawa hawa wafanyabiashara waliofunga biashara zao kwa tozo mkomoeni la TRA!
Wengi waliofunga biashara zao sababu ya kodi ukikaa watakuambia ukweli walovyokuwa wakikwepa kodi kwa kutoa rushwa. Mfumo ulipoanza kufanya kazi sawasawa wamejikuta na mzigo mkubwa wa kurudisha biashara kwenye ukweli. Kumbuka hapa Ile chain yote inatakiwa kufuata utaratibu kwa sasa kitu ambacho kimepeleka mzigo mkubwa kwa mfanya biasha aliyekua akilipa kodi ya pango 1.5m kwa frame moja ambayo hiyo kodi pia haikua sawa.

Wenye frames za biashara nao wanalia imebidi wakubali kushusha bei baada ya wateja kushindwa. Ungewashauri kufanya restructuring, wapunguze gharama za uendeshaji wa biashara tuu ili kuendana na ukweli maana hamna namna ya kumkwepa kaisari
Nenda segerea utashangaa zaidi kukuta wafanyabiashara kule wakisota. Ukimaliza urudi utuambie Kura za wafanyabiashara apewe nani.
Kuna waliowahi wakakimbia nchi kabisa kuukwepa mkono wa sheria kwa kujua makosa yao, kuna kampuni ambazo zimetelekezwa na kufungwa kwa kukosa wamiliki, Walio segerea uchunguzi ukikamilika watapata haki zao
Na kila ukikumbuka biashara zilivyodorora, Mafrem yalivyofungwa kila mahali, TRA wanavyotupia kodi za ajabu na umati wa raia waliokuwa wanunuzi wa biashara hizo kukosa hela (uwezo) wa kununua tena biashara unajisikiaje kuhusu shaka na utimamu wake mkuu?
Kweli biashara zimedorora ila kuna maswali mengi ya kujiuliza hapo.
Na sio biashara za bidhaa tuu zilizodorora hata za huduma pia. Wapo waliokua wanafanya biashara za nyumba kupangisha wanalia, wapo waliokua wanauza ardhi viwanja na mashamba wanalia pia, wauza nyumba nao hivyohivyo.
Tulikua kwenye ulimwengu ambao sheria zipo lakini hazikua zikifuatwa, vyombo husika havikua vikifanya kazi zake inavyotakiwa.

Kama kwenye biashara ardhi valuers wametuingiza mkenge kwa kushindwa kuweka na kusimamia bei elekezi matokeo yake ni hizi stress tunazopitia sasa Mtu nilinunua eneo 2014 kwa 20M leo nina shida siwezi kuliuza japo kwa nusu bei. Wenye mali wanalia, taasisi za fedha wanalia ila yote ni sababu mfumo ulikua mbovu regulators hawakua wakifanya kazi zao kwa weledi
Tulikua na uchumi wa ajabu sana ambao umevurugika sasa, hakuna asiyeumia na haya mabadiliko hata tanzania ila hakuna namna

Wote tunapata maumivu ya mabadiliko lakini ni mabadiliko yenye heri Mjep cocochanel Kawe Alumni Bia yetu Themagufulianz BUSH BIN LADEN mugah di mathew tameer IDEGENDA NAWATAFUNA Msengapavi Next Man Nguseroh minyoo Wakudadavuwa
stakehigh Daby Erythrocyte
Extrovert
GENTAMYCINE
 
Wengi waliofunga biashara zao sababu ya kodi ukikaa watakuambia ukweli walovyokuwa wakikwepa kodi kwa kutoa rushwa. Mfumo ulipoanza kufanya kazi sawasawa wamejikuta na mzigo mkubwa wa kurudisha biashara kwenye ukweli. Kumbuka hapa Ile chain yote inatakiwa kufuata utaratibu kwa sasa kitu ambacho kimepeleka mzigo mkubwa kwa mfanya biasha aliyekua akilipa kodi ya pango 1.5m kwa frame moja ambayo hiyo kodi pia haikua sawa. Wenye frames za biashara nao wanalia imebidi wakubali kushusha bei baada ya wateja kushindwa. Ungewashauri kufanya restructuring, wapunguze gharama za uendeshaji wa biashara tuu ili kuendana na ukweli maana hamna namna ya kumkwepa kaisari

Kuna waliowahi wakakimbia nchi kabisa kuukwepa mkono wa sheria kwa kujua makosa yao, kuna kampuni ambazo zimetelekezwa na kufungwa kwa kukosa wamiliki, Walio segerea uchunguzi ukikamilika watapata haki zao

Kweli biashara zimedorora ila kuna maswali mengi ya kujiuliza hapo.
Na sio biashara za bidhaa tuu zilizodorora hata za huduma pia. Wapo waliokua wanafanya biashara za nyumba kupangisha wanalia, wapo waliokua wanauza ardhi viwanja na mashamba wanalia pia, wauza nyumba nao hivyohivyo.
Tulikua kwenye ulimwengu ambao sheria zipo lakini hazikua zikifuatwa, vyombo husika havikua vikifanya kazi zake inavyotakiwa. Kama kwenye biashara ardhi valuers wametuingiza mkenge kwa kushindwa kuweka na kusimamia bei elekezi matokeo yake ni hizi stress tunazopitia sasa Mtu nilinunua eneo 2014 kwa 20M leo nina shida siwezi kuliuza japo kwa nusu bei. Wenye mali wanalia, taasisi za fedha wanalia ila yote ni sababu mfumo ulikua mbovu regulators hawakua wakifanya kazi zao kwa weledi
Tulikua na uchumi wa ajabu sana ambao umevurugika sasa, hakuna asiyeumia na haya mabadiliko hata tanzania ila hakuna namna

Wote tunapata maumivu ya mabadiliko lakini ni mabadiliko yenye heri Mjep cocochanel Kawe Alumni Bia yetu Themagufulianz BUSH BIN LADEN mugah di mathew tameer IDEGENDA NAWATAFUNA Msengapavi Next Man Nguseroh minyoo Wakudadavuwa
stakehigh Daby Erythrocyte
Extrovert

👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽
Yenye heri kweli kweli 💃🏽💃🏽💃🏽
Tena huyo wa mwanzo kumunukuu.. hapatii tena rushwa shift za usiku basi tangu ni hasira hasira.. hata malavi davi yake humu.. yamepungua kwa anayesema ni mpenzi wake.. na anapokea msharaha na marupurupu ya Serikali ya Magufuli.. huyo miaka ya nyumaaaa.. alikuwa akiwa jobu ni kuwemo humu hadi ananaliza shift.. siku hizi kazi ni kazi... na wenzake wengi nchini wamejifunza kuheshimu kazi zao... Magufuli ni habari ingine....💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽
 
Labda wafanya biashara wa Marekani.

Tulikuwa tuna lalamika biashara ngumu alegeze tukaitwa wapiga dili.

Sasa ndo unataka kura za wapiga dili??
 
Wengi waliofunga biashara zao sababu ya kodi ukikaa watakuambia ukweli walovyokuwa wakikwepa kodi kwa kutoa rushwa. Mfumo ulipoanza kufanya kazi sawasawa wamejikuta na mzigo mkubwa wa kurudisha biashara kwenye ukweli. Kumbuka hapa Ile chain yote inatakiwa kufuata utaratibu kwa sasa kitu ambacho kimepeleka mzigo mkubwa kwa mfanya biasha aliyekua akilipa kodi ya pango 1.5m kwa frame moja ambayo hiyo kodi pia haikua sawa. Wenye frames za biashara nao wanalia imebidi wakubali kushusha bei baada ya wateja kushindwa. Ungewashauri kufanya restructuring, wapunguze gharama za uendeshaji wa biashara tuu ili kuendana na ukweli maana hamna namna ya kumkwepa kaisari

Kuna waliowahi wakakimbia nchi kabisa kuukwepa mkono wa sheria kwa kujua makosa yao, kuna kampuni ambazo zimetelekezwa na kufungwa kwa kukosa wamiliki, Walio segerea uchunguzi ukikamilika watapata haki zao

Kweli biashara zimedorora ila kuna maswali mengi ya kujiuliza hapo.
Na sio biashara za bidhaa tuu zilizodorora hata za huduma pia. Wapo waliokua wanafanya biashara za nyumba kupangisha wanalia, wapo waliokua wanauza ardhi viwanja na mashamba wanalia pia, wauza nyumba nao hivyohivyo.
Tulikua kwenye ulimwengu ambao sheria zipo lakini hazikua zikifuatwa, vyombo husika havikua vikifanya kazi zake inavyotakiwa. Kama kwenye biashara ardhi valuers wametuingiza mkenge kwa kushindwa kuweka na kusimamia bei elekezi matokeo yake ni hizi stress tunazopitia sasa Mtu nilinunua eneo 2014 kwa 20M leo nina shida siwezi kuliuza japo kwa nusu bei. Wenye mali wanalia, taasisi za fedha wanalia ila yote ni sababu mfumo ulikua mbovu regulators hawakua wakifanya kazi zao kwa weledi
Tulikua na uchumi wa ajabu sana ambao umevurugika sasa, hakuna asiyeumia na haya mabadiliko hata tanzania ila hakuna namna

Wote tunapata maumivu ya mabadiliko lakini ni mabadiliko yenye heri Mjep cocochanel Kawe Alumni Bia yetu Themagufulianz BUSH BIN LADEN mugah di mathew tameer IDEGENDA NAWATAFUNA Msengapavi Next Man Nguseroh minyoo Wakudadavuwa
stakehigh Daby Erythrocyte
Extrovert

Aiseee Sijui niseme Nini, You nailed it Madam.

Nimependa hii Conclusion
" Wote tunapata maumivu ya mabadiliko lakini ni mabadiliko yenye heri "

Nimewahi kusema humu mchakato wa Maendeleo hauwagi rahisi Siku zote kuanzia individual mpaka National level Lazima Kuna Mambo tujicommit, Lazima Serikali isimamie sheria za kodi, Na ni lazima kila Mtu atimize wajibu ili sote tuende mbele
 
Kusimamia sheria za kodi ni kosa?
Kipindi hiki watu wamekuwa wanaburuzwa na kubambikiwa kodi - huo siyo usimamizi wa sheria ya kodi. Biashara haiingizi faida au faida kidogo sana lakini kodi utakayoambiwa ulipe ni ya kiwendawazimu. Ni kama zile ambazo wajinga waliaminishwa kuwa Acacia walikuwa wakidaiwa.

Binafsi nilipigiwa mahesabu, nikaambiwa nilioe kodi ya shilingi milioni 400. Nilihangaika mwaka mzima. Mwishowe niliishia kulipa shilingi milioni 70 ambayo nayo haikuwa halali. Hata huyo afisa wa TRA alikiri kuwa kulikuwa na uonevu mkubwa. Na kiuhalisia kodi yangu halisi ilikuwa milioni 42. Alinisihi niilipe hiyo milioni 70 maana component 1 ambayo ilitakiwa kodi iwe zero, akiweka zero kama ilivyostahili, yeye na mimi tutaendelea kusumbuliwa sana.

Nililipa hiyo milioni 70, nikapata Tax clearance certificate, nikafunga biashara. Maafisa wa TRA nao ni waoga kwa sababu ya kutishwa. Maana afisa mzuri wa TRA awamu hii ni yule anayesababisha serikali ipate mapato makubwa bila ya kujali kama ni halali au siyo halali. Mwananchi ananyang'anywa na kuibiwa pesa yake na serikali yake. HAKIKA MAGUFULI KUTOKA KWA WAFANYABIASHARA ATAPATA KURA ZA MDOMO TU LAKINI ZA KWENYE KARATASI WATAMPA LISU.

Wafanyabiashara na wawekezaji wamenyanyasika sana kwenye utawala wa Magufuli ndiyo maana wale wenye mitaji mikubwa wameenda kuwekeza nchi jirani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli hajaongeza kodi hila amesimamia sheria vyema na amedhibiti mianya ya rushwa na maghendo tu.
Zile 10% ununuzi wa Ndege ni kitu gani? Trilion 1.5 kisha wakamtoa CAG kafara zipo wapi? Zile bilion 12 zilipigwa na Ndungai kule india ni nini hicho?vipi ule ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge?
 
Kipindi hiki watu wamekuwa wanaburuzwa na kubambikiwa kodi - huo siyo usimamizi wa sheria ya kodi. Biashara haiingizi faida au faida kidogo sana lakini kodi utakayoambiwa ulipe ni ya kiwendawazimu. Ni kama zile ambazo wajinga waliaminishwa kuwa Acacia walikuwa wakidaiwa.

Binafsi nilipigiwa mahesabu, nikaambiwa nilioe kodi ya shilingi milioni 400. Nilihangaika mwaka mzima. Mwishowe niliishia kulipa shilingi milioni 70 ambayo nayo haikuwa halali. Hata huyo afisa wa TRA alikiri kuwa kulikuwa na uonevu mkubwa. Na kiuhalisia kodi yangu halisi ilikuwa milioni 42. Alinisihi niilipe hiyo milioni 70 maana component 1 ambayo ilitakiwa kodi iwe zero, akiweka zero kama ilivyostahili, yeye na mimi tutaendelea kusumbuliwa sana.

Nililipa hiyo milioni 70, nikapata Tax clearance certificate, nikafunga biashara. Maafisa wa TRA nao ni waoga kwa sababu ya kutishwa. Maana afisa mzuri wa TRA awamu hii ni yule anayesababisha serikali ipate mapato makubwa bila ya kujali kama ni halali au siyo halali. Mwananchi ananyang'anywa na kuibiwa pesa yake na serikali yake. HAKIKA MAGUFULI KUTOKA KWA WAFANYABIASHARA ATAPATA KURA ZA MDOMO TU LAKINI ZA KWENYE KARATASI WATAMPA LISU.

Wafanyabiashara na wawekezaji wamenyanyasika sana kwenye utawala wa Magufuli ndiyo maana wale wenye mitaji mikubwa wameenda kuwekeza nchi jirani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kibaya kuliko vyote ni BOT kutumia fursa hizo hizo kuwapora wafanyabiashara wakubwa na wadogo pesa zao wanazotumiwa toka nje ya Nchi, na endapo mfanyabiashara anapiga kelele humtishia kumbambikia kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi, kuna uonevu manyanyaso mateso makubwa kwa wafanyabiashara chini ya utawala wa kidikteta wa kaburu Mkoloni mweusi, kwa kifupi hakuna mfanyabiashara atampigia mtukufu magufuli kura
 
Unaandika upumbavu, madhira aliyowasababishia wafanyibiashara hayawezi kuponywa na dawa yake ni kumnyima kura aende chato akaangalie fursa za ujasiriamali, kwenye uraisi hafai, hakuna cha kumalizia miaka 10, nchi hii ina watu wengi sana wanaoweza kushika nafasi ya uraisi, yalifanyika makosa makubwa saana tarehe 25/10/2015 kuchagua mtusi huyo, matatizo mengi tuliyo nayo sasa hivi ni kazi ya mikono yake
Wafanyabiashara wametaabika mno chini ya utawala huu wa kidikteta tarey28 lazima watake mabadiliko Nchi ipate uhuru HAKI itamalaki
 
Aiseee Sijui niseme Nini, You nailed it Madam.

Nimependa hii Conclusion
" Wote tunapata maumivu ya mabadiliko lakini ni mabadiliko yenye heri "

Nimewahi kusema humu mchakato wa Maendeleo hauwagi rahisi Siku zote kuanzia individual mpaka National level Lazima Kuna Mambo tujicommit, Lazima Serikali isimamie sheria za kodi, Na ni lazima kila Mtu atimize wajibu ili sote tuende mbele
Utakuwa kiongozi mjinga kama utang'ang'ania kuwa unasimamia sheria za kodi halafu kila siku biashara zinafungwa na uwekezaji unaanguka.

Kama unayoyasema ni kweli, basi alitakiwa ufanye detailed study ya kujua kodi inayolipika, halatu ndiyo hiyo usimamie kikamilifu.

Ghana VAT 5%, Tanzania 18%! Marekani VAT 0%. Sasa utakaposimamia kikamilifu VAT ya 18% tena kwa sasa katika utekelezaji wameingiza kila kitu wakati sheria haisemi hivyo, ni lazima utaua biashara.

Kitakachoongeza pato la serikali na ajira ni kuongezeka kwa biashara na uwekezaji. Biashara zinasinyaa, ukuaji wa uwekezaji unaanguka, wewe unafurahia na kusema, mimi nasimamia sheria ya kodi, wewe utakuwa ni kiongozi mwenye akili?

Biashara na uwekezaji vikiisha, hiyo sheria utaenda kusimamia majumbani kwa watu? Kiongozi mzuri ni yule mwenye kuona athari kabla ya kutokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee Sijui niseme Nini, You nailed it Madam.

Nimependa hii Conclusion
" Wote tunapata maumivu ya mabadiliko lakini ni mabadiliko yenye heri "

Nimewahi kusema humu mchakato wa Maendeleo hauwagi rahisi Siku zote kuanzia individual mpaka National level Lazima Kuna Mambo tujicommit, Lazima Serikali isimamie sheria za kodi, Na ni lazima kila Mtu atimize wajibu ili sote tuende mbele
Mbele hatujaenda hakuna maendeleo ndiyo maana miaka mitano hakuna nyongeza za mishahara kwa watumishi wa umma
 
Kibaya kuliko vyote ni BOT kutumia fursa hizo hizo kuwapora wafanyabiashara wakubwa na wadogo pesa zao wanazotumiwa toka nje ya Nchi, na endapo mfanyabiashara anapiga kelele humtishia kumbambikia kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi, kuna uonevu manyanyaso mateso makubwa kwa wafanyabiashara chini ya utawala wa kidikteta wa kaburu Mkoloni mweusi, kwa kifupi hakuna mfanyabiashara atampigia mtukufu magufuli kura
Siyo kweli kwamba awamu hii wanasimamia sheria bali wanatumia sheria kutenda uovu dhidi ya raia. Ni serikali ovu dhidi ya raia wema. Wanatumia vibaya sheria ya uhujumu uchumi, utakatishaji fedha, madawa ya kulevya na uchochezi dhidi ya raia wasio na makosa. Huu ni ujambazi wa dola dhidi ya raia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuwa kiongozi mjinga kama utang'ang'ania kuwa unasimamia sheria za kodi halafu kila siku biashara zinafungwa na uwekezaji unaanguka.

Kama unayoyasema ni kweli, basi alitakiwa ufanye detailed study ya kujua kodi inayolipika, halatu ndiyo hiyo usimamie kikamilifu.

Ghana VAT 5%, Tanzania 18%! Marekani VAT 0%. Sasa utakaposimamia kikamilifu VAT ya 18% tena kwa sasa katika utekelezaji wameingiza kila kitu wakati sheria haisemi hivyo, ni lazima utaua biashara.

Kitakachoongeza pato la serikali na ajira ni kuongezeka kwa biashara na uwekezaji. Biashara zinasinyaa, ukuaji wa uwekezaji unaanguka, wewe unafurahia na kusema, mimi nasimamia sheria ya kodi, wewe utakuwa ni kiongozi mwenye akili?

Biashara na uwekezaji vikiisha, hiyo sheria utaenda kusimamia majumbani kwa watu? Kiongozi mzuri ni yule mwenye kuona athari kabla ya kutokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko kariokoo Dsm wengi wamefunga biashara zao wamehamishia Uganda msumbiji na sehemu zingine hata wawekezaji wengi wamekimbia baada ya kubambikiwa kodi na TRA wakashindwa kulipa wakafunga viwanda biashara wakaenda Nchi zingine kusiko na kubambikiwa kodi wala bank kuu kuwadhulumu pesa zao kama BOT inavyofanya sasa pindi ukitumiwa pesa toka nje ya Nchi , utawala huu wa mtukufu ukitokomezwa tarehe 28 hakika wafanyabiashara watakesha wakisherekea usiku kucha
 
Back
Top Bottom