Uchaguzi 2020 Nitashangaa Wafanyabiashara kumnyima Magufuli kura

Wafanyabiashara wanahasira na mgombea kutoka ubeligiji ambaye anataka kuwaribia mfumo wao wa kufanya biashara

Kweli kabisa
Coz wakati wa JK mbaazi kilo ilikuwa ni elf mbili, Miaka mitano ya bwana huyu mbaazi kilo ni shilingi Mia, one hundred 💯, Yan condom ina gharama kuliko kilo ya mbaazi
 
Jana tulikiwa tumekaa tukipata brekafast hotelini, kulikuwa na viongozi watatu wa wafanyabiashara, kama kawaida kwa kipindi hiki, masuala ya uchaguzi ndiyo hoja kuu, meza ya karibu ilikuwa na vijana 4, TV ilikuwa ikimwonesha Magufuli, mmoja akasema kwa sauti kubwa, 'hatukuchagui'.

Kulikuwa na 3 waliokuwa kimya, lakini wengine wote, kama watu 15 hivi, kwa nyakati tofauti tofauti walikuwa wakisema hawatamchagua. Na baadaye mmoja wa wale viongozi wa wafanyabiashara akasema, "kama kwa wafanyabiashara, hakuna atakayempa kura".

Ni sample ndogo lakini yaweza kuwa ni representative. Hakuna hata mmoja pale aliyesema atamchagua Magufuli, labda wale watatu waliokuwa kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna watu wanatakiwa kuponda kichwa cha nyoka ni wafanyabiashara; wamenyanyaswa kwa utitiri wa kodi, wamedulumiwa, wamefilisiwa...
Magufuli hajaongeza kodi hila amesimamia sheria vyema na amedhibiti mianya ya rushwa na maghendo tu.
 
Mimi ni victim wa hilo ninalosema hadi leo hii, lipo kwenye baraza la kodi, tunavutana!! Licha ya punguzo kubwa walilopunguza bado halikubariki!! Mwishowe imekuwa kama biashara 'sasa unasemaje unataka kulipa ngapi' 'mtu ana kuta ana deni eti la bilioni tatu!!! Hahaaa, kuna maneno aliyasema zitto japo ni makali ila ndio ukweli, GENGE LA WAPORAJI
Kwani sheria za kodi zimetungwa na magu.
 
Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.

Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.

Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Ungekuwa na akili timamu au ungekuwa na biashara usingeandika huu upuuzi
 
Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.

Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.

Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Kete yenu ya mwisho ni corona nayo imebuma.
Hakuna mfanyabiashara mjinga wa hivyo
 
Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.

Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.

Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Kati ya Makundi yatakayomnyima kura Magufuli kwa kishindo kwenye uchaguzi wa mwaka huu ni Wafanyabiashara kutokana na kubambikiwa makodi na TRA na kuharibiwa mazingira ya biashara, Wakulima (Korosho, Mbaazi, Tumbaku, Pamba, Kahawa na Mahindi- sababu si naeleweka na Vijana kutokana na kukosekana kwa ajira.

Nasema hapa, hakuna namna Magufuli atashinda uchaguzi wa mwaka huu. HAKUNAA
 
Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.

Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.

Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Ni kweli Magufuli haku "follow the pack" juu ya swala la corona na COVID19.
Lakini hili si litakalo mbeba.
Kubebwa kwa Magufuli kuwe katika kukamilisha miradi hasa ule wa umeme wa Stiglaz Goji, umeme wa Megawati 2100.

Hilo ndio Magufuli atakumbukwa miaka yote.
Suala la wagfanya biashara sio uongo kavurunda, tena vibaya!
Biashara zilizofungwa au kufilisika kutokana na mazingira kuwa magumu ni dhahiri.
Huna haja ya kuambiwa ,nenda Kariakoo na sehemu nyingine nyingi Jijini DSM uone biashara zilizofungwa.
Tunaomba Magufuli anadiwe kwa mambo yenye tija ,sio hili la biashara maana huko utapata upinzani mtupu, hata kutoka kwa wana CCM.
 
Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.

Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.

Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Unaandika upumbavu, madhira aliyowasababishia wafanyibiashara hayawezi kuponywa na dawa yake ni kumnyima kura aende chato akaangalie fursa za ujasiriamali, kwenye uraisi hafai, hakuna cha kumalizia miaka 10, nchi hii ina watu wengi sana wanaoweza kushika nafasi ya uraisi, yalifanyika makosa makubwa saana tarehe 25/10/2015 kuchagua mtusi huyo, matatizo mengi tuliyo nayo sasa hivi ni kazi ya mikono yake
 
Kati ya Makundi yatakayomnyima kura Magufuli kwa kishindo kwenye uchaguzi wa mwaka huu ni Wafanyabiashara kutokana na kubambikiwa makodi na TRA na kuharibiwa mazingira ya biashara, Wakulima (Korosho, Mbaazi, Tumbaku, Pamba, Kahawa na Mahindi- sababu si naeleweka na Vijana kutokana na kukosekana kwa ajira.

Nasema hapa, hakuna namna Magufuli atashinda uchaguzi wa mwaka huu. HAKUNAA
Nasimama upande wako
 
Unaandika upumbavu, madhira aliyowasababishia wafanyibiashara hayawezi kuponywa na dawa yake ni kumnyima kura aende chato akaangalie fursa za ujasiriamali, kwenye uraisi hafai, hakuna cha kumalizia miaka 10, nchi hii ina watu wengi sana wanaoweza kushika nafasi ya uraisi, yalifanyika makosa makubwa saana tarehe 25/10/2015 kuchagua mtusi huyo, matatizo mengi tuliyo nayo sasa hivi ni kazi ya mikono yake
Kusimamia sheria za kodi ni kosa? 😂
 
Back
Top Bottom