hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Wafanyabiashara wanahasira na mgombea kutoka ubeligiji ambaye anataka kuwaribia mfumo wao wa kufanya biashara
Kweli kabisa
Coz wakati wa JK mbaazi kilo ilikuwa ni elf mbili, Miaka mitano ya bwana huyu mbaazi kilo ni shilingi Mia, one hundred 💯, Yan condom ina gharama kuliko kilo ya mbaazi