Uchaguzi 2020 Nitashangaa Wafanyabiashara kumnyima Magufuli kura

kitakachoshangaza zaidi ni wafanyakazi wa umma kumpa kura Magu wakati hajawaongezea mishahara kwa miaka mi5 huku gharama za maisha zikipaa juu!.
Wafanyakazi wa umma wote hawatamchagua mtukufu magufuli kamwe
 
Toeni updates za uchaguzi.
NECCCM Tumeccm na Polisiccm watatumia matokeo ya 2015 na kuongezea kidogo tu watamsimika mtukufu magufuli kienyeji kwa njia haramu za kishetani hakukuwa na haja ya kufanya uchaguzi kwani wanayo matokeo mifukoni mwao tayari.
 
Ni Magufuli Tenaaa...Mitano Tenaaaa


Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Ni Magufuli Tenaaa...Mitano Tenaaaa


Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Kwa kura zipi? Maana hakuna mwenye Akili timamu kamchagua na wenye Akili timamu ni wengi kuliko wajinga, JPM anakutosha wewe mnufaika wa trilion 1.5 kisha mkamtoa CAG kafara, atosha kwako mnufaika wa blackmail za kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani
 
Ama tcra wameweza kuzima mitandao, basi tarajieni akipita magufuli, ndani ya miaka mitano kila jambo ambalo haramu ambalo CCM wanaenda kulipitisha, mf kuingeza ukomo wa rais, basi watazima. Ushakuwa utamaduni wao

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kura zipi? Maana hakuna mwenye Akili timamu kamchagua na wenye Akili timamu ni wengi kuliko wajinga, JPM anakutosha wewe mnufaika wa trilion 1.5 kisha mkamtoa CAG kafara, atosha kwako mnufaika wa blackmail za kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani
Msilete nongwa leo ndio mtajua Watanzania kuwa ni wazalendo na wapenda Maendeleo.

Mimi nimeshampigia kura nakusihi na wewe bado haujachelewa...Magufuli oyeeeee.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.

Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.

Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Km sisi tunavokushangaa ulivo mweupe kichwani....shwain ww
 
Wafanyabiashara wa nchi hii wana chama kimoja tu cha siasa cha kujiunga nacho, CCM pekee. Vinginevyo wewe utalala na kuamka na TRA.
 
Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.

Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.

Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Tayari tushampigia Lissu,magu akajambe çhatto
 
Back
Top Bottom