Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,073
Wadau Nawasalimu.
Kwa Uzoefu wangu wa Kesi zinazoihusu CHADEMA Hucheleweshwa kwa Makusudi na MAHAKAMA za Tanzania NITASHANGAA sana iwapo KESI hiyo Itatolewa Hukumu kabla ya Mwaka 2025.
DALILI za Kuipiga DANA DANA Kesi Zimeanza kwani Juzi ilikuwa iendelee kusikilizwa lakini kwa MAKUSUDI kabisa Iliahirishwa kwa Sababu ya MAWAKILI wa SERIKALI Kutokufika MAHAKAMANI licha ya kuwa Mawakili wote Wapo Dsm.
Nimpongeze JAJI MSTAAFU mzee OTHMAN CHANDE alipozitaka MAHAKANA za TANZANIA Kuzitolea HUKUMU KESI Mbalimbali zenye Kuvuta Hisia za Wananchi Wengi.
Pia niipongeze Mahakama ya juu ya Kenya kutumia Siku 14 kupokea ushahidi kusikiliza na kutoa HUKUMU kwa Kesi kubwa ya kupinga matokeo ya URAIS iliyokuwa na hisia za Wananchi wengi wa Kenya na jaribu kujiuliza kama ingekuwa Tanzania nadhani Dunia ingeshangaa.
Kwa Uzoefu wangu wa Kesi zinazoihusu CHADEMA Hucheleweshwa kwa Makusudi na MAHAKAMA za Tanzania NITASHANGAA sana iwapo KESI hiyo Itatolewa Hukumu kabla ya Mwaka 2025.
DALILI za Kuipiga DANA DANA Kesi Zimeanza kwani Juzi ilikuwa iendelee kusikilizwa lakini kwa MAKUSUDI kabisa Iliahirishwa kwa Sababu ya MAWAKILI wa SERIKALI Kutokufika MAHAKAMANI licha ya kuwa Mawakili wote Wapo Dsm.
Nimpongeze JAJI MSTAAFU mzee OTHMAN CHANDE alipozitaka MAHAKANA za TANZANIA Kuzitolea HUKUMU KESI Mbalimbali zenye Kuvuta Hisia za Wananchi Wengi.
Pia niipongeze Mahakama ya juu ya Kenya kutumia Siku 14 kupokea ushahidi kusikiliza na kutoa HUKUMU kwa Kesi kubwa ya kupinga matokeo ya URAIS iliyokuwa na hisia za Wananchi wengi wa Kenya na jaribu kujiuliza kama ingekuwa Tanzania nadhani Dunia ingeshangaa.