Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
NITARUDI NYUMBANI KWETU CHADEMA.
Siku hazigandi nitarejea nilikozaliwa kisiasa na kukulia kisiasa kule nyumbani kwetu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA.
Na hakuna mtu wakunifukuza kazi Utumishi wa Umma, na nitamuumbua Rais Magufuli na uongo wake.
Waambieni Polisi wanikamate tena, muone nitakacho wafanya. NCCR Mageuzi na CCM ilikuwa ni mapito ya kujua ujinga wa taifa letu ulipo na ACA yangu itakuwa ndio mbadala wa UKAWA.
Deogratius Kisandu. Picha hii ni ya mwaka 2011 viwanja vya Bacelona Kahama.
Siku hazigandi nitarejea nilikozaliwa kisiasa na kukulia kisiasa kule nyumbani kwetu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA.
Na hakuna mtu wakunifukuza kazi Utumishi wa Umma, na nitamuumbua Rais Magufuli na uongo wake.
Waambieni Polisi wanikamate tena, muone nitakacho wafanya. NCCR Mageuzi na CCM ilikuwa ni mapito ya kujua ujinga wa taifa letu ulipo na ACA yangu itakuwa ndio mbadala wa UKAWA.
Deogratius Kisandu. Picha hii ni ya mwaka 2011 viwanja vya Bacelona Kahama.