Nitapiga mtu nimpoteze aseee.!!

princemikazo

JF-Expert Member
Jan 10, 2019
2,197
2,051
"Hivi vibishoo vis*nge sana,Eti vinatembea vimebeba vibegi vinaweka na nywele dawa,vimenyoa viduku,Headphone kila saa masikioni!Simbilisi kabisa..!!Eti swagga!?alaf vinaibuka Nyumbani kuvizia wadogo zetu Qumamake yani nikikashika nanyoa kiduku asee Tena kwa bati,Ndorobo kabisa,Kiruu!!"Hiyo ni sauti ya Massawe jirani yetu aliekua anaongea uku akitokwa mapovu kama kameza sabuni ya B29,Shida ilikua ni Mdogo ake wa kike ambae waga tuna mmega machalii,inasemekana ana ujauzito ndo maana ata simu sikuizi hapokei itakua Kanyang'anywa na Brother ake huyo mtata ambae yupo kama ugali uliokanyagwa..
NB:Nyie Ma broo acheni kuwachunga wadogo zenu wakifikia umri wa kuliwa kwani hamuwezi kuwala au kuwaoa nyie!Sisi vijana hu test kwanza mitambo so mkiwachunga na kuwafungia sijua mna maana gani?Shubaamiti kabisa.
@ChaliiYaKijengeJuu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom