Mimi mstaarabu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 258
- 566
Habari,
Naomba kujuzwa ni sehem gani nitapata mtumba grade A kwa Dar es salaam.
Natamani kuanza biashara hii ya mtumba lakini jeans tupu na PIA inahitajika mtaji wa kiasi gani?
Pia soma:Chimbo la belo za mtumba grade A pasipo na matapeli na waongo zinapatikana wapi kwa Dar es Salaam?
Naomba kujuzwa ni sehem gani nitapata mtumba grade A kwa Dar es salaam.
Natamani kuanza biashara hii ya mtumba lakini jeans tupu na PIA inahitajika mtaji wa kiasi gani?
Pia soma:Chimbo la belo za mtumba grade A pasipo na matapeli na waongo zinapatikana wapi kwa Dar es Salaam?