Naombeni utaalamu wa kufuga hawa wadudu. Je, Kuna mtu humu alishawahi kujaribu kufuga?
View attachment 1498601
Vipi
Naombeni utaalamu wa kufuga hawa wadudu. Je, Kuna mtu humu alishawahi kujaribu kufuga?
View attachment 1498601
Uko wapi mkuu? Njoo hapa SUA idara ya uzalishaji wanyama uliza mwalimu yeyote anayefundisha aquaculture watakuunganisha na vijana wa BSc. Aquaculture.Naombeni utaalamu wa kufuga hawa wadudu. Je, Kuna mtu humu alishawahi kujaribu kufuga?
View attachment 1498601
Uko wapi mkuu? Njoo hapa SUA idara ya uzalishaji wanyama uliza mwalimu yeyote anayefundisha aquaculture watakuunganisha na vijana wa BSc. Aquaculture.
Wapi nimesema wapo wamezalishwa SUA?SUA??? Wanafuga bsf tangu lini mkuu?? Pls naomba kujua