Nitapata wapi hati ya tabia Njema Police clearance Report

Nenda Central police iliyo karibu nawe utapata utaratibu mzima hasa ofisi ya OCD.
Ukiwa na kabahasha ndo kabisaaa.... kila la kheri mkuu.
Nashukuru Sana!
Kabahasha ka Nini mkuu! Naomba unitoe tongotongo
 
Nenda kituo kikuu cha polisi utapata muongozo lkn kuna malipo ya serikali nadhani ni sh elf20 utaenda kwenye ofisi za afisa mpelelezi wa mkoa utachukuliwa alama za vidole then utapewa karatasi yako iliwekwa saini na uyo Afisa, nimeeleza kwa uelewa wangu mwingine anaweza kuongezea
 
Nenda kituo kikuu cha polisi utapata muongozo lkn kuna malipo ya serikali nadhani ni sh elf20 utaenda kwenye ofisi za afisa mpelelezi wa mkoa utachukuliwa alama za vidole then utapewa karatasi yako iliwekwa saini na uyo Afisa, nimeeleza kwa uelewa wangu mwingine anaweza kuongezea
Sawa Nashukuru Sana
 
Nenda kituo kikuu cha polisi utapata muongozo lkn kuna malipo ya serikali nadhani ni sh elf20 utaenda kwenye ofisi za afisa mpelelezi wa mkoa utachukuliwa alama za vidole then utapewa karatasi yako iliwekwa saini na uyo Afisa, nimeeleza kwa uelewa wangu mwingine anaweza kuongezea
Inalipiwa buku jero au buku 2 tu!

Kwa Dar nenda Mambo ya Ndani pale karibu na Exim Bank na ONAMO hotel...

Hiyo buku jero au buku 2 iwe kwa simu ukipewa Control number unalipia.

Hapo Mambo ya ndani hicho kitengo kiko kule nyuma ya Ofisi kwenye yale Magofu magofu.
 
Nenda kituo kikuu cha polisi utapata muongozo lkn kuna malipo ya serikali nadhani ni sh elf20 utaenda kwenye ofisi za afisa mpelelezi wa mkoa utachukuliwa alama za vidole then utapewa karatasi yako iliwekwa saini na uyo Afisa, nimeeleza kwa uelewa wangu mwingine anaweza kuongezea
Uko sahihi..lazima alama za vidole zipelekwe ili kujua hujapatikana na kosa la jinai. Majibu yakija unapata hiyo hati..

Depal njoo uchangie huku.
 
Nenda kituo kikuu cha polisi utapata muongozo lkn kuna malipo ya serikali nadhani ni sh elf20 utaenda kwenye ofisi za afisa mpelelezi wa mkoa utachukuliwa alama za vidole then utapewa karatasi yako iliwekwa saini na uyo Afisa, nimeeleza kwa uelewa wangu mwingine anaweza kuongezea
Kiuhalisia hizo alama za vidole zikishachukuliwa kwenye ofisa za upelelezi mikoani/ wilayani hupelekwa Dar kuchekiwa kwenye kanzidata ya alama za vidole. Iwapo hazijamatch na za mhalifu yeyote ndipo hati huandikwa na kupelekwa mkoani/wilayani ili apewe mhusika.
 
Inalipiwa buku jero au buku 2 tu!

Kwa Dar nenda Mambo ya Ndani pale karibu na Exim Bank na ONAMO hotel...

Hiyo buku jero au buku 2 iwe kwa simu ukipewa Control number unalipia.

Hapo Mambo ya ndani hicho kitengo kiko kule nyuma ya Ofisi kwenye yale Magofu magofu.
Mkuu Kama unahitaji kwa haraka Kuna chochote kitu natakiwa kutoa?? Yani mkono wa nyuma.

Mana Ina haraka sanaa
 
Mkuu Kama unahitaji kwa haraka Kuna chochote kitu natakiwa kutoa?? Yani mkono wa nyuma.

Mana Ina haraka sanaa
Hapo Sielewi sasa Nenda Jumatatu weekend hawafungui.

Kuna mtu alienda Juzi ikamchukua siku moja tu kuipata.
 
Back
Top Bottom