Nitaokoaje flash disk yangu?

Ambassador

JF-Expert Member
Jun 2, 2008
933
75
Jamani eh, kuna mtu kachomoa flash disk yangu kwenye computer ikiwa bado inablink kuonyesha kuna activity inaendelea. Kila nikijaribu kuifungua inasema "not formatted, do you want to format it now?" Kuna njia yoyote ya juokoa flash disk hii maana imesheheni kazi zangu lukuki most of which sina back up zake. Please help.
 
Do a google search for acronis recovery suite,that will help you recover your data.

Cheers!
 
Jamani eh, kuna mtu kachomoa flash disk yangu kwenye computer ikiwa bado inablink kuonyesha kuna activity inaendelea. Kila nikijaribu kuifungua inasema "not formatted, do you want to format it now?" Kuna njia yoyote ya juokoa flash disk hii maana imesheheni kazi zangu lukuki most of which sina back up zake. Please help.
Just click "No" na itafungua kama kawaida... wakati mwingine huwa inatokea namna hiyo kama unatumia stystem mbili tofauti, Mac na Pc... Ikishindikana hayo jaribu ushauri wa jamaa hapo juu.

NB:

Siku zote usiamini hizi technologia za digital... wakati wowote zinaweza kuzima na ukapoteza kazi zako zote... Inashauriwa kuwa na Back up kwa kila kazi unayoifanya... tena kuwa na USB hata tano na wakati mwingine bora kuifadhi kazi zako kwenye CD's. Hii itakusaidia sana kuweza ku-back up kazi zako kwa siku za usoni.


Kila la kheri Ambassador.
 
Just to strengthen that multiple OS point raised above.

Hii ishawahi kunitokea wakati nahamisha files kutoka Ubuntu kwenda Vista, au mara nyingine inaweza isikuambie ku format bali ikakuuliza kama unataka kuprevent file corruption (I forgot the exact message) ukikubali the corruption message inafuta mafile yote yaliyokuwa copied mara ya mwisho, ukisema yes on the formatting message most probably utapoteza data zote.
 
Nilishakutana na case kama hiyo, na hata ku-format ilikuwa inagoma. Ukifikia umeamua kuzitosa hizo data, na ukijaribu ku-format pia ikashindikana, fuata ushauri huu:

- Disconnect Hard-drives za computer yako
- Boot computer kwa kutumia Windows XP CD (Sijajaribu CS ya Vista)
- Fuata instructions kama vile unataka kuinstall OS kwenye hiyo flash. Ikifika sehemu ya kuchagua drive, chagua hiyo flash, na iambie installa ii-format
- Ikimaliza kuformat, disk yako iko safi. Baadaye nadhani setup ita-fail anyway kwa sababu space ni ndogo
- Zima computer
- Unga hard-drives zako ulizozitoa kabla


Nimekumbuka sasa kwamba kama una flash inayogoma hata ku-formatiwa kwenye XP kwa sababu ilichomolewa bila kufuata taratibu, ukiiingiza kwenye Vista, Vista ina-gundua kwamba hiyo flash ina matatizo na itakuomba ruhusa ya kui-fix. Ukiiruhusu itaifix na nadhani ma-fie yako yanabaki vile vile. Jaribu hili kama jaribio la mwisho kama ushauri wote hapo juu umeshindikana.
 
Nilishakutana na case kama hiyo, na hata ku-format ilikuwa inagoma. Ukifikia umeamua kuzitosa hizo data, na ukijaribu ku-format pia ikashindikana, fuata ushauri huu:

- Disconnect Hard-drives za computer yako
- Boot computer kwa kutumia Windows XP CD (Sijajaribu CS ya Vista)
- Fuata instructions kama vile unataka kuinstall OS kwenye hiyo flash. Ikifika sehemu ya kuchagua drive, chagua hiyo flash, na iambie installa ii-format
- Ikimaliza kuformat, disk yako iko safi. Baadaye nadhani setup ita-fail anyway kwa sababu space ni ndogo
- Zima computer
- Unga hard-drives zako ulizozitoa kabla


Nimekumbuka sasa kwamba kama una flash inayogoma hata ku-formatiwa kwenye XP kwa sababu ilichomolewa bila kufuata taratibu, ukiiingiza kwenye Vista, Vista ina-gundua kwamba hiyo flash ina matatizo na itakuomba ruhusa ya kui-fix. Ukiiruhusu itaifix na nadhani ma-fie yako yanabaki vile vile. Jaribu hili kama jaribio la mwisho kama ushauri wote hapo juu umeshindikana.

Mkuu, nilishwahi kuiruhusu iifix kama nilivyosema hapo juu, matokeo nikakosa hayo ma file latest niliyocopy.This was a Ubuntu -> Vista move. Not sure about XP --> Vista. Nafikiri ni ulimbwende wa Vista huu, I hope Windows 7 haitakuwa this particular.
 
I hope Windows 7 haitakuwa this particular.

Proud of Windows 7...works great even on netbooks!
Na ingawa nimeswitch to Macs after the Vista crisis...I would definitely recommend PCers on trying out Windows 7.
 
Back
Top Bottom