Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Jamani eh, kuna mtu kachomoa flash disk yangu kwenye computer ikiwa bado inablink kuonyesha kuna activity inaendelea. Kila nikijaribu kuifungua inasema "not formatted, do you want to format it now?" Kuna njia yoyote ya juokoa flash disk hii maana imesheheni kazi zangu lukuki most of which sina back up zake. Please help.