Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,444
- 6,480
Kwenye uumbaji wa Mungu hakuna sura mbaya.
Hyo kawaida yako kwa mwenzako ni pisi kali,imajn nlichukua huyo unaemwita wa kawaida ila mwenyew aliniendesha kama gari bovu na kuanza kucheat huko,nkaona ya nini kujifia nkajitoa mazimaHabarini za asubihi na shikamoni wakubwa na wadogo zangu hamjambo vijana wenzangu mambo vipi.
Mimi napenda sana kuchunguza chunguza mambo na kuwapima watu akili hasa hawa jinsia ya 'she'
Niliambiwa kwenye mtandao kuna wanawake wazuri sana na ni kweli ni wazuri na pia ni wasomi wazuri sana maana kingezo changu cha kwanza ilikuwa ni kuzungumza nao lugha ya waingereza au tunasema ngeli
Na nitangulize hili jambo kuwa nilikuwa kwenye uchunguzi na hakuna niliyeshiriki naye ngono msema kweli ni mpenzi wa Mungu,nilikuwa kwenye uchunguzi kujua ni kwa kiasi gani hii biashara inakua sana,kwa njia hii hawa akina dada si ndo wake zetu huko mbele na jinsi wanavyotumika jamani tutawapata wakiwa watamu huko mbeleni au ndo ile ladha itakuwa imeliwa na kuisha
Wengi wao ni wana chuo na ndo maana wanajua sana ngeli na siyo ile ya kuunganisha unganisha wanajua ile iliyoonyoka tena safiiiiii.
Pamoja na hayo yote hakuna mwanamke au binti hata moja alikuwa na sura.mbaya wote ni pisi kali kama tunavyosema vijana wa kileo.
Pamoja na hayo yote Mimi kama Mimi nitaoa wanawake wa kawaida sana kwanza hawapati usumbufu kwa wanaume maana wanaume wanapenda pisi kali pili hawa wa kawaida hawajachezewa sana na wanaume wavurugaji.
Wanaume tuwapende hawa wenye sura ya kawaida na uthibitisho unaonyesha ni wanawake wanaotulia sana kwenye ndoa na kuwa wavunilivu sana.
Ova