Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 67,977
- 95,297
Yeah... maadam sijaoa bikira na maadam binadamu hachungiki... basi kama anadinywa (kama mimi navyodinya) basi adinywe na wastaabu kama mi navyodinya wastaarabu... Ili mradi tu nisijue kama mimi navyojitahidi mpaka leo hajawahi kujuamkuu sikuwa na point hiyo, then unamaanisha kuna sample ya wanaume wakikudinyia mkeo kunakuwa na uafadhari?