Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 3,295
- 5,398
Bwana asipo ulinda mji wake walindao wakesha bure
Bwana asipoulinda mji yeye aulindae akesha bure
Ooh God bless me with a woman like this. AminaBwana asipoulinda mji yeye aulindae akesha bure
Hivi wewe siuje nikuwowee.Bwana asipoulinda mji yeye aulindae akesha bure
SawaHivi wewe siuje nikuwowee.
Papuchi na mwanamke anampa amtakaye popote pale
Wanaume wenye hekima na busara kama wewe ni wachache sana siku hizi. Wengi humu wanamtazamo hasi kuhusu mwanamke, wanatuona kama vile tusio na ufahamu au akili. Kuwa na mwanamke aliyeolewa ofisini kwako na ana chepuka haimaanishi wanawake wote ni vicheche, wala haimaanishi kuwa wanawake hawatakiwi kufanya kazi za ofisini!! Kwani kwa hata hao baadhi wanaochepuka wanachepuka na akina nani kama si baadhi ya wanaume waliooa pia?! Binadamu yeyote hachungwi awe mwanaume au mwanamke !!Ubinafsi ndio unaotusumbua wanaume. Kama mkeo hukumkuta na bikra ni wazi huyo alishakuwa 'used'. Na hata akitumika na mtu mwingine bado hicho kibox hakitabadilika rangi. Tujifunze kuwapenda wanawake na udhaifu wao. Ukijitoa kwa mwanamke kimwili na roho utateseka sana. Mwanamke hachungwi, anajichunga mwenyewe kutokana jinsi wewe unavyoishi nae. Ukimpenda nae atakupenda. Ukimthamini nae anakuthamini. Mungu alituagiza tuishi nao kwa kutumia akili, maana anazijua akili zao zilivyo.
Jamaa yake siku akimfata ofisini mnamchora tu 🤣🤣🤣Ila kiukweli 80% wanawake wafanyakazi wanadinywa kishenzi yani, hapa ofisini kwetu ni balaa tupu! Mpaka mtu unasema mumewake kazi anayo"
mkuu sikuwa na point hiyo, then unamaanisha kuna sample ya wanaume wakikudinyia mkeo kunakuwa na uafadhari?Hao wa kwenye miradi na wa nyumbani ndo hawadinywi? Vijana mmeharibikiwa nini kichwani?... Mwanamke malaya ni malaya tu, regardless anafanya nini.
Ukiangalia kwa mapana ni heri afanye kazi adinywe na wafanyakazi wenzie/ mabosi ambao baada ya kudinywa anapewa chochote kuliko adinywe na madereva wa bodaboda, wapemba magengeni au wauza nyama buchani. Hawa wanatumia hela ulizomuachia mkeo... Yani wanakudinyia mkeo kwa pesa zako.
Mwisho wa siku kama unataka ndoa yako idumu... mwamini mkeo na usimchunguze sana maana unaweza kudedi kwa presha kwa kushindwa kuchukua hatua au ukaozea jela kwa kuchukua hatua za kipuuzi
BABU nimemaliza narudi kitandani