Nitalifungulia kesi Jeshi la Polisi kwa kunikamata bila idhini ya Mwajiri, Pia nalishukuru kwa kunipa promo(Deo Kisandu)

Civilian Coin

JF-Expert Member
Dec 2, 2012
2,305
4,334
kesi.jpg
 
tueleze kwanza maendeleo ya kesi ulizowahi kuahidi huku kwamba utawafungulia taasisi mbali mbali kwa kukosea jina lako.
 
Una matatzo ya kuruka stage unachokipigania hakijulikani jitu zima unapost ujinga ujinga mitandaon utafikir ndio unabarehe Leo.
Bora ulivyokuwa jela tulipumzika kuona upumbavu wako huku jf.

Badlika jombaa uwe unakua sio unazeeka na ujinga ujinga. Sijui hata wanao unawafundisha nn
Wewe ni mwalimu wa kufundisha watu jinsi gani waishi
 
Back
Top Bottom