Kahema
JF-Expert Member
- May 21, 2010
- 202
- 43
imeandikwa' yeyote anayeunga mkono ugaidi naye pia ni gaidi' kitendo cha ccm kuiba haki ya watu ni zaidi ya ugaidi. lakini kwa kuwa wabunge wa chadema wameishasema kura za wananchi zimeibiwa na hivyo uchaguzi haukua wa huru na haki, nitashangaa kama watakubali kuingia bungeni wakati wakijua sisi wananchi tulio wachagua atusupport ugaidi/wizi.