Unaweza kua na HOJA kwenye UZI wako but kwa nilivyo kufatilia, huwenda UNAZO chuki binafsi na WATAJWA!Naona atuelewani kumbe ndio maana JPM anawapeleka peleka hovyo
We hujasikia wenye koro-show kule Ntwara wanaulizwa mashamba!? Ni wenye akili tu ndio wameelewa hiyo tweet ya Bashe, vichwa maji lazima mnese kwanza. Katika wabunge wa ccm ninao waheshimu kwa michango yao ya maana then huyu jamaa ni No 1 kwangu. Jambo moja ambalo hua najiuliza sana ni hili, kwanini watu kama hawa hutuhumiwa sio Watanzania!? Ina maana Watanzania wote tuna akili kama za mleta UZI!? Najiuliza tu!
Na hapa umechapia pia, kurekebisha,sio kulekebishaMods msaada nmechapia juu hapo naomba unisaidie kulekebisha...
Huyo kwanza mchumia tumbo km wachumia tumbo wengine ndani ya ccm na njee ya ccm pili huyo ni mtanzania mwenye asili ya somalia...We hujasikia wenye koro-show kule Ntwara wanaulizwa mashamba!? Ni wenye akili tu ndio wameelewa hiyo tweet ya Bashe, vichwa maji lazima mnese kwanza. Katika wabunge wa ccm ninao waheshimu kwa michango yao ya maana then huyu jamaa ni No 1 kwangu. Jambo moja ambalo hua najiuliza sana ni hili, kwanini watu kama hawa hutuhumiwa sio Watanzania!? Ina maana Watanzania wote tuna akili kama za mleta UZI!? Najiuliza tu!
Hii IPO Dunian kote ni hulka ya mwanadamu,,,lazma angalie maslah yake kwanza trust me,, hata Trump aliona kuna namna atagain that's why akajitosa pamoja na kua na Ukwasi wa kuridhisha,,,,Jambo LA muhimu tupate tu anaejua kula na kipofu,,,Kwa hao wengine na CCM wote including you upo sawa Ila kwa ZITTO ZUBERI KABWE LUYAGWA ,,I say BIG NO ,,,Big NoInawekana usemayo lkn huyo mwanasiasa msafi ndio bado atujapata Tanzania ss hao wapigaji wengine wanatafuta kiki kupitia shida zetu...
Wote wezi hamna hata moja anae weza kula na kipofu hapo tna huyo ZZT ndio mtu hatari mara 100 kuliko wezi wa ccm tafuta hotuba yke jiwe alivyoenda kigoma labda unaweza kunielewa kidogo...Hii IPO Dunian kote ni hulka ya mwanadamu,,,lazma angalie maslah yake kwanza trust me,, hata Trump aliona kuna namna atagain that's why akajitosa pamoja na kua na Ukwasi wa kuridhisha,,,,Jambo LA muhimu tupate tu anaejua kula na kipofu,,,Kwa hao wengine na CCM wote including you upo sawa Ila kwa ZITTO ZUBERI KABWE LUYAGWA ,,I say BIG NO ,,,Big No
bwege wew unajifanya kiziwi!!!Alivyosema wataishia gerezani haingilii mahakama?Sasa huyo Zitto anataka Magufuli aingilie maamuzi ya mahakama?
who are you?Kutokujua kwangu sarufi kitu kingine kupinga usanii wa huyo mpigaji kitu kingine huyo fisadi km mafisadi wengine tu...
Kenge wewe, tena lofa wa kutupwa.bwege wew unajifanya kiziwi!!!Alivyosema wataishia gerezani haingilii mahakama?
Uliwahi kupinga usanii wa Magufuli maana naye ni Fisadi kama mafisadi wengine tu...Kutokujua kwangu sarufi kitu kingine kupinga usanii wa huyo mpigaji kitu kingine huyo fisadi km mafisadi wengine tu...
Sio kupiga tu msimamo wngu khs CCM ni hakuna mwana ccm yyote anae itakia mema nchi hii tna usinikumbushe nyumba zetu za serikali khs kile kivuko ndio usiseme kbs...Uliwahi kupinga usanii wa Magufuli maana naye ni Fisadi kama mafisadi wengine tu...
hahahha bado utakua bwege tu ndugu juha mfuasi wa mfalme juhaKenge wewe, tena lofa wa kutupwa.