Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,714
Naona kuna kawimbo kanaendelea kakusema yanga inakata upepo kipindi cha pili, mimi sikubaliani na icho kitu kwakuwa sijaona timu inayokata upepo ikiwa ikiwa inaruusu nafasi za wazi kwa wapinzani kunufaika nazo.
Mara nyingi timu inayokata upepo aiwezi ikacheza mechi zaidi ya moja bila kuruusu goli kwakuwa kunakuwepo na mianya mingi ya kutengeneza magoli kutokana na wachezaji kuchoka, kwa yanga ilo sijaliona likitokea na ata wapinzani wanapopata nafasi inakuwa ni nafasi ngumu Sana kufunga.
Jambo la muhimu na kulipongeza benchi la ufundi kuna jambo la kiufundi linafanyika pale ambalo ni Kama mtego kwa opponent, timu nyingi tiyali zimeanza kuingia kwenye huo mtego wa kufikilia yanga inakata upepo kipindi cha pili ivyo wanakuwa na matumaini ya kurudisha magoli kipindi icho kumbe wanakuja kukutana na surprise nyingine ya ulinzi shirikishi.
Na unapojisahau zaidi kushambulia unapigwa goli jingine biashara inaishia apo, aiwezekani mechi 4 mfululizo timu inayokata upepo isiadhibiwe ata kwa goli la penalt ni ngumu, mkishapigwa goli na yanga ndo kwaheri baba jeni.
Mara nyingi timu inayokata upepo aiwezi ikacheza mechi zaidi ya moja bila kuruusu goli kwakuwa kunakuwepo na mianya mingi ya kutengeneza magoli kutokana na wachezaji kuchoka, kwa yanga ilo sijaliona likitokea na ata wapinzani wanapopata nafasi inakuwa ni nafasi ngumu Sana kufunga.
Jambo la muhimu na kulipongeza benchi la ufundi kuna jambo la kiufundi linafanyika pale ambalo ni Kama mtego kwa opponent, timu nyingi tiyali zimeanza kuingia kwenye huo mtego wa kufikilia yanga inakata upepo kipindi cha pili ivyo wanakuwa na matumaini ya kurudisha magoli kipindi icho kumbe wanakuja kukutana na surprise nyingine ya ulinzi shirikishi.
Na unapojisahau zaidi kushambulia unapigwa goli jingine biashara inaishia apo, aiwezekani mechi 4 mfululizo timu inayokata upepo isiadhibiwe ata kwa goli la penalt ni ngumu, mkishapigwa goli na yanga ndo kwaheri baba jeni.