Nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Uchumi wa Tanzania umeshuka kutokana na Corona na ndiyo maana Mishahara inapigwa tu 'Danadana' Kupandishwa

Ukimaliza tu Kuhangaika na Mimi utaniambia sawa?
it seems unajishughulisha na vitu ambavyo huna knowledge navyo. angalia components za GDP, alafu serikali ikisema tunataka uchumi ukue kwa asilimia flani basi lazima uongeze ukuaji wa hizo components, and one of the components is government expenditure. ili government i-spend more ni kuwa na miradi na si kukuletea hela uweke mfukoni. JPM had economics advisors usione alikuwa anaamka tu na ku-decide. hayo mambo ya vijiweni bakini navyo huko msivilete humu.
 
Kila mei mosi jamaa wanadai ongezeko la mishahara,

Vipi kuhusiana na wakulima??

Nani atawakumbuka hawa, wapate pembejeo kwa bei nafuu na masoko ya uhakika ya mazao yao??
 
Ninachojua GENTAMYCINE kwanini Mishahara imekuwa ikipigwa tu 'danadana' Kupandishwa kwa Watumishi nchini tokea 2016 hadi tarehe 17 March, 2021 ni......

1. Kukurupuka kuanzisha Miradi
2. Kuwekeza zaidi Chato
3. Kukomoa Matajiri wakubwa
4. Ufisadi mkubwa tu Serikalini
5. Kuharibu Mifumo ya Pesa
6. Usimamizi mbovu wa Mapato
7. Uhusiano mbaya Kidiplomasia

Ushauri wa bure tu kwa Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali 'Kivuli' cha Hayati Rais Dkt. Magufuli kisikutishe katika ama Kuamua au Kufanya yale unayoyaona ni bora ( sahihi ) kwa Watanzania na Tanzania kama nchi.

Nimekuwa nikikuangalia sana kwa Jicho langu Kali la Saikolojia yangu Kubwa ya Kiasili na Kugundua ya kuwa unapenda mno kufanya Mabadiliko hasa ya Kiuongozi, Kimaamuzi na Kiutendaji kutoka kwa Mtangulizi wako ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) ila ni kama vile 'Unaogopa' au 'Unajishtukia' labda Watu watakuelewa vibaya.

Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan tambua ya kwamba Hayati Rais Dkt. Magufuli aliandika Kitabu chake na ameondoka nacho tayari hivyo na Wewe huu sasa ni wakati wako Kukiandika chako ili Watanzania tukukumbuke ama pale Ukistaafu au hata nawe pia Ukitwaliwa ghafla ( japo siombei ) kama Mwenzako.

Ningeshauri tu hebu weka Uwiano ( Balansisha ) katika Kuinua Vipato vya Watanzania, Ustawi Wao na Miradi Muhimu ya Kimkakati. Inauma na Kukatisha Tamaa pia kuona Serikali iko 'busy' na Miradi tu huku Wananchi wake wakiteseka na kutokuwa na Vipato, uhaba wa Ajira na Kuishi kwa Matumaini pekee hali imayopelekea hata kuharibu Saikolojia zao ( zetu ) na wengine hata 'Kujitundika' ili Wafe wakayaanze Maisha mapya huko Udongoni ( Mavumbini )

Najua Rais wa Awamu ya Nne Mzee Jakaya Mrisho Kikwete ( nae alikuwa na Mapungufu yake fulani fulani ) ila nakuomba tu Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan usione Aibu 'Kuchota' Mawazo yake hasa katika Suala zima la Watanzania wanataka nini na hiyo Miradi yako uiendeshe vipi.

Mheshimiwa Rais Mama Samia namalizia tu kwa Kukuuliza Swali nimekusikia leo ukisema kuwa Janga la Corona ndiyo limesababisha usipandishe Mishahara ila Mwakani utapandisha.

Je, Wewe ni Mfalme Njozi ambaye umeshajua kuwa Mwakani ( 2022 ) hakutakuwa na Janga lolote ama Tanzania au Duniani kwa Ujumla? Je, kukitokea Janga lingine Kubwa tena tutegemee Mei Mosi ya 2022 utakuja tena na Kauli hii ya Matumaini Kwetu au utakuwa umeshakusanya Pesa za Kutosha na kwamba hata kutokee nini Wafanyakazi ( Watumishi ) nyongeza zao za Mishahara utakuwa umeshaitenga?

Tusitumie Janga hili la Corona kama Kimbilio letu Kuu la 'Utetezi' kwa Wananchi wa Tanzania wakati wenye Akili tunajua kuwa wale 'Corrupt Players' wote waliotajwa katika Ripoti ya CAG na sababu zangu hizo Saba ( 7 ) hapo juu ndiyo Chanzo cha yote na Ugumu huu wa Maisha ya Watanzania na Kushindwa mara kwa mara Kupandisha Mishahara.

Acha Kauli za Kisiasa zitakuharibia sana.
siamini kabisa kuwa wewe unajua economics, umekurupuka toka mtaani na Kwa sababu unajua kusoma na kuandika na ukichanganya na zile hadithi za vijiweni basi ukakitutumua:

1. Kukurupuka kuanzisha Miradi
Kuanzisha miradi ndiyo kukuza ajira, bila ya miradi kuanzishwa hakuna ajira, iwe public or private sector
2. Kuwekeza zaidi Chato
onyesha numbers, na je you think chato affected other sectors? Au mikoa mwingine? Tanzania nzima yote ni masikini system ndiyo iliyotufikisha hapo
3. Kukomoa Matajiri wakubwa
unaweza ukawa na point, toa evidence, ungesema alishupalia foreign investors ningekuelewa. Lakini kama unaongelea akina Rostam, Manji, Mo, nk au umesahau EPA na JK? stop this rant
4. Ufisadi mkubwa tu Serikalini
This is new narrative ambayo watawala baada ya kufa yule katili wanailet. JPM hakuiba ila alitumia pesa kwenye miradi bila ya kuongea na wenzake. Alitoa uamuzi mwenyewe moja Kwa moja
5. Kuharibu Mifumo ya Pesa
mifumo ya pesa ipi? Ndiyo hadithI za vijiweni hizo, wala huwezi kuelezea. mbona Tshs has been stable?
6. Usimamizi mbovu wa Mapato
haaaaaa, umeongea kinyume, JK was the most wasteful president of all. JPM alikuwa katili lakini kwenye fiscal discipline alikuwa mbabe

usimpoteze huyu mama, JPM tumsakame kwenye human rights full stop.

when you have SGR train people will use it money will be made

Power project - ukiwa na umeme mwingi investors watakuja,

viwanda nk

JPM investment kwenye infrastructure na viwanda kafanya vizuri.

unakopa pesa una invest kwenye infrastructure sawa

unakopa pesa ulipe mishahara? No
 
Miradi yote inayofanywa ni muhimu sana cha msingi ni uvumilivu na nidhamu ya matumizi kwa tunachopata kama kipato chako ni kidogo
 
Mama anashindwa kuelewa mistakes za Jiwe zilizokuwa zinafunikwa kipropaganda zitakuwa exposed kwake, yeye ndiyo atakayebeba zigo lote na kuonekana mistakes ni zake.

Ushauri kwa mama, vunja baraza la mawaziri, weka watu influential na wenye explosure internationally, mfano, watu kama kina Prof. Muhongo nk hawa wana network na connections kimataifa, mtu kama Kitila atakusaidia nini! Weka watu wa maana Mama yetu Mungu akubariki!
Ideology yako zaidi ipo upande kwa kutembea na bakuli kimataifa kuliko kuongeza ufanisi wa tunachoweza kuzalisha
 
siamini kabisa kuwa wewe unajua economics, umekurupuka toka mtaani na Kwa sababu unajua kusoma na kuandika na ukichanganya na zile hadithi za vijiweni basi ukakitutumua:

1. Kukurupuka kuanzisha Miradi
Kuanzisha miradi ndiyo kukuza ajira, bila ya miradi kuanzishwa hakuna ajira, iwe public or private sector
2. Kuwekeza zaidi Chato
onyesha numbers, na je you think chato affected other sectors? Au mikoa mwingine? Tanzania nzima yote ni masikini system ndiyo iliyotufikisha hapo
3. Kukomoa Matajiri wakubwa
unaweza ukawa na point, toa evidence, ungesema alishupalia foreign investors ningekuelewa. Lakini kama unaongelea akina Rostam, Manji, Mo, nk au umesahau EPA na JK? stop this rant
4. Ufisadi mkubwa tu Serikalini
This is new narrative ambayo watawala baada ya kufa yule katili wanailet. JPM hakuiba ila alitumia pesa kwenye miradi bila ya kuongea na wenzake. Alitoa uamuzi mwenyewe moja Kwa moja
5. Kuharibu Mifumo ya Pesa
mifumo ya pesa ipi? Ndiyo hadithI za vijiweni hizo, wala huwezi kuelezea. mbona Tshs has been stable?
6. Usimamizi mbovu wa Mapato
haaaaaa, umeongea kinyume, JK was the most wasteful president of all. JPM alikuwa katili lakini kwenye fiscal discipline alikuwa mbabe

usimpoteze huyu mama, JPM tumsakame kwenye human rights full stop.

when you have SGR train people will use it money will be made

Power project - ukiwa na umeme mwingi investors watakuja,

viwanda nk

JPM investment kwenye infrastructure na viwanda kafanya vizuri.

unakopa pesa una invest kwenye infrastructure sawa

unakopa pesa ulipe mishahara? No
Umeongea points sana
 
siamini kabisa kuwa wewe unajua economics, umekurupuka toka mtaani na Kwa sababu unajua kusoma na kuandika na ukichanganya na zile hadithi za vijiweni basi ukakitutumua:

1. Kukurupuka kuanzisha Miradi
Kuanzisha miradi ndiyo kukuza ajira, bila ya miradi kuanzishwa hakuna ajira, iwe public or private sector
2. Kuwekeza zaidi Chato
onyesha numbers, na je you think chato affected other sectors? Au mikoa mwingine? Tanzania nzima yote ni masikini system ndiyo iliyotufikisha hapo
3. Kukomoa Matajiri wakubwa
unaweza ukawa na point, toa evidence, ungesema alishupalia foreign investors ningekuelewa. Lakini kama unaongelea akina Rostam, Manji, Mo, nk au umesahau EPA na JK? stop this rant
4. Ufisadi mkubwa tu Serikalini
This is new narrative ambayo watawala baada ya kufa yule katili wanailet. JPM hakuiba ila alitumia pesa kwenye miradi bila ya kuongea na wenzake. Alitoa uamuzi mwenyewe moja Kwa moja
5. Kuharibu Mifumo ya Pesa
mifumo ya pesa ipi? Ndiyo hadithI za vijiweni hizo, wala huwezi kuelezea. mbona Tshs has been stable?
6. Usimamizi mbovu wa Mapato
haaaaaa, umeongea kinyume, JK was the most wasteful president of all. JPM alikuwa katili lakini kwenye fiscal discipline alikuwa mbabe

usimpoteze huyu mama, JPM tumsakame kwenye human rights full stop.

when you have SGR train people will use it money will be made

Power project - ukiwa na umeme mwingi investors watakuja,

viwanda nk

JPM investment kwenye infrastructure na viwanda kafanya vizuri.

unakopa pesa una invest kwenye infrastructure sawa

unakopa pesa ulipe mishahara? No
hawa watu wakishiba ugali wanaanza kuhara. hawajui kuwa haya mambo ni ya kitaalam si kila mtu anajua
 
Ninachojua GENTAMYCINE kwanini Mishahara imekuwa ikipigwa tu 'danadana' Kupandishwa kwa Watumishi nchini tokea 2016 hadi tarehe 17 March, 2021 ni......

1. Kukurupuka kuanzisha Miradi
2. Kuwekeza zaidi Chato
3. Kukomoa Matajiri wakubwa
4. Ufisadi mkubwa tu Serikalini
5. Kuharibu Mifumo ya Pesa
6. Usimamizi mbovu wa Mapato
7. Uhusiano mbaya Kidiplomasia

Ushauri wa bure tu kwa Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali 'Kivuli' cha Hayati Rais Dkt. Magufuli kisikutishe katika ama Kuamua au Kufanya yale unayoyaona ni bora ( sahihi ) kwa Watanzania na Tanzania kama nchi.

Nimekuwa nikikuangalia sana kwa Jicho langu Kali la Saikolojia yangu Kubwa ya Kiasili na Kugundua ya kuwa unapenda mno kufanya Mabadiliko hasa ya Kiuongozi, Kimaamuzi na Kiutendaji kutoka kwa Mtangulizi wako ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) ila ni kama vile 'Unaogopa' au 'Unajishtukia' labda Watu watakuelewa vibaya.

Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan tambua ya kwamba Hayati Rais Dkt. Magufuli aliandika Kitabu chake na ameondoka nacho tayari hivyo na Wewe huu sasa ni wakati wako Kukiandika chako ili Watanzania tukukumbuke ama pale Ukistaafu au hata nawe pia Ukitwaliwa ghafla ( japo siombei ) kama Mwenzako.

Ningeshauri tu hebu weka Uwiano ( Balansisha ) katika Kuinua Vipato vya Watanzania, Ustawi Wao na Miradi Muhimu ya Kimkakati. Inauma na Kukatisha Tamaa pia kuona Serikali iko 'busy' na Miradi tu huku Wananchi wake wakiteseka na kutokuwa na Vipato, uhaba wa Ajira na Kuishi kwa Matumaini pekee hali imayopelekea hata kuharibu Saikolojia zao ( zetu ) na wengine hata 'Kujitundika' ili Wafe wakayaanze Maisha mapya huko Udongoni ( Mavumbini )

Najua Rais wa Awamu ya Nne Mzee Jakaya Mrisho Kikwete ( nae alikuwa na Mapungufu yake fulani fulani ) ila nakuomba tu Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan usione Aibu 'Kuchota' Mawazo yake hasa katika Suala zima la Watanzania wanataka nini na hiyo Miradi yako uiendeshe vipi.

Mheshimiwa Rais Mama Samia namalizia tu kwa Kukuuliza Swali nimekusikia leo ukisema kuwa Janga la Corona ndiyo limesababisha usipandishe Mishahara ila Mwakani utapandisha.

Je, Wewe ni Mfalme Njozi ambaye umeshajua kuwa Mwakani ( 2022 ) hakutakuwa na Janga lolote ama Tanzania au Duniani kwa Ujumla? Je, kukitokea Janga lingine Kubwa tena tutegemee Mei Mosi ya 2022 utakuja tena na Kauli hii ya Matumaini Kwetu au utakuwa umeshakusanya Pesa za Kutosha na kwamba hata kutokee nini Wafanyakazi ( Watumishi ) nyongeza zao za Mishahara utakuwa umeshaitenga?

Tusitumie Janga hili la Corona kama Kimbilio letu Kuu la 'Utetezi' kwa Wananchi wa Tanzania wakati wenye Akili tunajua kuwa wale 'Corrupt Players' wote waliotajwa katika Ripoti ya CAG na sababu zangu hizo Saba ( 7 ) hapo juu ndiyo Chanzo cha yote na Ugumu huu wa Maisha ya Watanzania na Kushindwa mara kwa mara Kupandisha Mishahara.

Acha Kauli za Kisiasa zitakuharibia sana.

Bila kujifunga Mkande uchumi hautakuwa. Uneandika kimission town sana. Nakwambia kama Ndo hivyo Basi Hata mie ntaweza kuwa Rais na nikawapa raha miaka 10 na kuja kuwaangamiza kwa daima.
 
Back
Top Bottom