King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,328
- 67,754
BlackBerry ndio nini?
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
avae na skintight manake kubebwa juu juu putura ama teitei haikawii kuvuka.
Hivi Blackberry bado zipo sokoni?
avae na skintight manake kubebwa juu juu putura ama teitei haikawii kuvuka.
bOFLO AVAE TEITEI?
Kuna demu 1 nilikuwa naye chuo, juzi nimekutana naye akaniambia kuwa tarehe 7 mwezi huu ni Birthday yake,
akaniomba nimnunulie zawadi, nikamuuliza zawadi gani utataka? Akaniambia zawadi yoyote.....Nikamuuliza tena je kama
nitakununulia simu ya Blackberry, akaniambia kama nitamnunulia BB atanibeba juu juu...
Mpaka sasa hivi sijui huku kubebwa kukoje?? Atanibeba kwa kuninyanyua kama mtoto? Au kuna maana nyingine,
Maana nimeogopa kumuuliza asije niona mshamba, Wana Jf naomba mnijuze..
Kuna demu 1 nilikuwa naye chuo, juzi nimekutana naye akaniambia kuwa tarehe 7 mwezi huu ni Birthday yake,
akaniomba nimnunulie zawadi, nikamuuliza zawadi gani utataka? Akaniambia zawadi yoyote.....Nikamuuliza tena je kama
nitakununulia simu ya Blackberry, akaniambia kama nitamnunulia BB atanibeba juu juu...
Mpaka sasa hivi sijui huku kubebwa kukoje?? Atanibeba kwa kuninyanyua kama mtoto? Au kuna maana nyingine,
Maana nimeogopa kumuuliza asije niona mshamba, Wana Jf naomba mnijuze..
Boflo, itakuwa wamekufanya
zombie lao last week alikuwa wa elfu 30 leo ni mwendo wa blackberry,
next utakuja na iphone 5. Kazi unayo lol!
Hata Tanzania siyo kitu kipya, sema tu bado ziko sokoniTanzania BBM ndo kitu kipya now lol
Marekani zimeshatolewa sokoni?
Hivi Blackberry bado zipo sokoni?
Siku ya tukio usisahau kubeba dume mkuu,lolote laweza kutokea!!