Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Kuna demu 1 nilikuwa naye chuo, juzi nimekutana naye akaniambia kuwa tarehe 7 mwezi huu ni Birthday yake. Akaniomba nimnunulie zawadi, nikamuuliza zawadi gani utataka? Akaniambia zawadi yoyote. Nikamuuliza tena je kama nitakununulia simu ya Blackberry, akaniambia kama nitamnunulia BB atanibeba juu juu.
Mpaka sasa hivi sijui huku kubebwa kukoje?? Atanibeba kwa kuninyanyua kama mtoto? Au kuna maana nyingine, Maana nimeogopa kumuuliza asije niona mshamba, Wana Jf naomba mnijuze..
Mpaka sasa hivi sijui huku kubebwa kukoje?? Atanibeba kwa kuninyanyua kama mtoto? Au kuna maana nyingine, Maana nimeogopa kumuuliza asije niona mshamba, Wana Jf naomba mnijuze..