Jamani nataka kujua ntajuaje kama namridhisha mwenzangu?
Maana sijawahi sikia mwanaume akilalamika kuwa hajafikishwa kileleni
Nazjaz ukitoa tabia ambayo mtu anaweza kuitumia kama kigezo cha kukuacha, kama umeshawahi kuachwa na maboyfriend zaidi ya wanne wakati wameshakumega jua wewe siyo mtamu au una kasoro ambayo wakikueleza labda watakukwaza.
Kwani huwa hawakwambii??? Au hisikii jamaa akifikia Kibo????
MR acha uongo kuachwa sio sababu ya kutokuwa mtamu ati!!!
Ujue sex is not everything right???? Kuachana kuna mengi huchangia
Naona anochotaka yeye kujua yaani kama k yake ni tamu!!!! Maana katika hali ya kawaida wanaume hawachelewi kushusha na akishashusha kelele hana, sasa yeye anataka licha ya mwanaume kushusha lakini je yeye ni mtamu??????
Ndo maana yake si kuachwa na wanaume wanne eti asiwe mtamu....................
Bi dada upo?????? Nimesema ukitoa tabia, utamu unaweza ukawa factor vile vile.
tobaaaaaaaa, hii mupyaJiamini we mtamu tuu,kama uamin 2wasiliane nipime kiwango cha utamu wako!
Kama tabia iko Ok, sura na shape Ok kwa nini uachwe sasa, hapo suala la kujitua au utamu linahusika tehe tehe tehe.
Mmmhhh sikubaliani na wewe katu..............utamu ndo ufanye muachane??? Mmmhhh hapana
Amini hivyo other factors remain constant.