Nitajuaje kama mpenzi wangu amefika kileleni (orgasm)?

Mama Big

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
488
7
Jamani wanaJF mwenzenu nimeulizwa swali kuwa atajuaje kama mpenzi wake amefika kileleni (orgasm)? na afanye nini ili mpenzi wake afike? Mama kubwa nikaona ni busara kuwauliza wenzangu ili tuchange mawazo na tumsaidie mwenzetu...
 
Ni vizuri kumuuliza muhusika mkiwa katika tendo! kama mmeweza kuvuana nguo sidhani kama kuulizana hili swali mtaoneana aibu
 
nyie ndio wadau wakuu wa kufikishwa kileleni sasa mngetuambia inakuwaje na tuangalie dalili gani kuwa uko njiani au tayari umekamilisha
 
hahha mama bg nambie shost?salama?
unaweza kujua ..kwa mwanaume utaona anakukumbatia mbaaambambamba basi apo ujue yupo klmanjaro
-wengne macho yao yanageuka km anadegedege vle+anapiga makelele
-wengne wanazimia kabsa-
-wengne wanasema nimefika....
KWA MWANAMKE;
Anakuwa yupo fit tu ..nguvu km za matumla znamjia akifika kileleni(hapigi kelele waloa halegei sana)
 
utamsikia akisema ishiiiiiiiii mamamama kakaka aii mhhhhhhh huku akitwanga kwa kasi kama aliku ana baasi atalegezaaa
 
Jamani wanaJF mwenzenu nimeulizwa swali kuwa atajuaje kama mpenzi wake amefika kileleni (orgasm)? na afanye nini ili mpenzi wake afike? Mama kubwa nikaona ni busara kuwauliza wenzangu ili tuchange mawazo na tumsaidie mwenzetu...

Darling mzima wewe nafikiri mimi hapa sihitaji kujibu hili swali maana mimi na wewe tunajua kila mmoja akifika kileleni huwa inakuwaje tukiwa kwenye uwanja, siri yetu mama.
 
hahha mama bg nambie shost?salama?
unaweza kujua ..kwa mwanaume utaona anakukumbatia mbaaambambamba basi apo ujue yupo klmanjaro
-wengne macho yao yanageuka km anadegedege vle+anapiga makelele
-wengne wanazimia kabsa-
-wengne wanasema nimefika....
KWA MWANAMKE;
Anakuwa yupo fit tu ..nguvu km za matumla znamjia akifika kileleni(hapigi kelele waloa halegei sana)

Hapo unaweza kutoka ndukii ukijua mtu ameishakata roho:smile-big::smile-big:
 
Darling mzima wewe nafikiri mimi hapa sihitaji kujibu hili swali maana mimi na wewe tunajua kila mmoja akifika kileleni huwa inakuwaje tukiwa kwenye uwanja, siri yetu mama.
heheeeeeeeeeeeee heeeeeeeeeeee halooooo halooooooo bigrita upo?
mweee yan aka kadig dig kamekupiku namna i?et wanajuana wenyewe wakifiaka kilelen wanakuwaje?
ahh bgrita unakubali kadhia hii??mmh pole
TEAMO NAJUA AKIFIKA KILELEN MDOMO ANAACHA WAZI KM SAMAK ALIYEKUFA KWA KUKOSA MAJI
roy akifika analia km mtoto anaogopa kuchomwa sindano
bgrita akifika kilelen anapiga miruzi kwa fujo yan km ametoka pale kichakan alipopak gari wakat anaenda rombo ili afanye kazindiko kidogo........:smile-big:!!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: LD
Tafute mashehe amabao huwa wanafungisha ndoa za mkeka watakupa majibu sahihi kwani wakati wa organism mwanaume huwa hawezi hata kunyanyuka na huwa anakatika mawasiliano na anakuwa kama juha
 
heheeeeeeeeeeeee heeeeeeeeeeee halooooo halooooooo bigrita upo?
mweee yan aka kadig dig kamekupiku namna i?et wanajuana wenyewe wakifiaka kilelen wanakuwaje?
ahh bgrita unakubali kadhia hii??mmh pole
TEAMO NAJUA AKIFIKA KILELEN MDOMO ANAACHA WAZI KM SAMAK ALIYEKUFA KWA KUKOSA MAJI
roy akifika analia km mtoto anaogopa kuchomwa sindano
bgrita akifika kilelen anapiga miruzi kwa fujo yan km ametoka pale kichakan alipopak gari wakat anaenda rombo ili afanye kazindiko kidogo.......
.:smile-big:!!!!!!

:tape::tape::tape::tape: Huyu wa kupaki gari kichakani iko siku biolojia yake itakuja igongwe kichwa na nyoka sijui itakuwaje
 
hahha mama bg nambie shost?salama?
unaweza kujua ..kwa mwanaume utaona anakukumbatia mbaaambambamba basi apo ujue yupo klmanjaro
-wengne macho yao yanageuka km anadegedege vle+anapiga makelele
-wengne wanazimia kabsa-
-wengne wanasema nimefika....

KWA MWANAMKE;
Anakuwa yupo fit tu ..nguvu km za matumla znamjia akifika kileleni(hapigi kelele waloa halegei sana)
unataka kusema nini kuhusu experience yako kwa ufupi? hahahahahaaa!!
Develop hii list, then tutafanya kalkulesheni kuestimate idadi na possible occurrence.
 
unammwagia maji anaznduka fasta!!!!!!!!

Unamwagia maji karibia ndoo nzima mtu azindukii iliishawahi kumkuta jamaa yangu wee mbona alikoma kila alipokuwa akifikiria kwenda game na mamsapu lazima afanye maamuzi ya muda mrefu
 
heheeeeeeeeeeeee heeeeeeeeeeee halooooo halooooooo bigrita upo?
mweee yan aka kadig dig kamekupiku namna i?et wanajuana wenyewe wakifiaka kilelen wanakuwaje?
ahh bgrita unakubali kadhia hii??mmh pole
TEAMO NAJUA AKIFIKA KILELEN MDOMO ANAACHA WAZI KM SAMAK ALIYEKUFA KWA KUKOSA MAJI
roy akifika analia km mtoto anaogopa kuchomwa sindano
bgrita akifika kilelen anapiga miruzi kwa fujo yan km ametoka pale kichakan alipopak gari wakat anaenda rombo ili afanye kazindiko kidogo........:smile-big:!!!!!!



Naomba na mimi niingie katika hiyo listi!!:A S-rose:
 
unataka kusema nini kuhusu experience yako kwa ufupi? hahahahahaaa!!
Develop hii list, then tutafanya kalkulesheni kuestimate idadi na possible occurrence.

Utanifahamisha nikiwa nasafiri kile kichaka ulichoingia na kupaki gari kusudi na mimi nikifika pale i do the same
 
heheeeeeeeeeeeee heeeeeeeeeeee halooooo halooooooo bigrita upo?
mweee yan aka kadig dig kamekupiku namna i?et wanajuana wenyewe wakifiaka kilelen wanakuwaje?
ahh bgrita unakubali kadhia hii??mmh pole
TEAMO NAJUA AKIFIKA KILELEN MDOMO ANAACHA WAZI KM SAMAK ALIYEKUFA KWA KUKOSA MAJI
roy akifika analia km mtoto anaogopa kuchomwa sindano
bgrita akifika kilelen anapiga miruzi kwa fujo yan km ametoka pale kichakan alipopak gari wakat anaenda rombo ili afanye kazindiko kidogo........:smile-big:!!!!!!
Asante kwa kulinda maslahi ya bg bana.
haka kadig dig kanasumbua sana. ninawasiwasi usumbufu huu unaweza kupelekea mama kuba ikaamua kukaachia njia.:nono::nono::nono: siku nikijua ndo itakuwa:rip::rip: ya dig dig
 
Asante kwa kulinda maslahi ya bg bana.
haka kadig dig kanasumbua sana. ninawasiwasi usumbufu huu unaweza kupelekea mama kuba ikaamua kukaachia njia.:nono::nono::nono: siku nikijua ndo itakuwa:rip::rip: ya dig dig
hahhaahah kuwa mjasiri km roy
et dig dig wapo kwa kukamilisha pori lakin awana madhara yeyote....
dig dig ni dig dg hana madhara wewe ni simba thats ol!!!!
 
Utanifahamisha nikiwa nasafiri kile kichaka ulichoingia na kupaki gari kusudi na mimi nikifika pale i do the same
umbali wa safari uta-determine wingi wa vichaka. kama unaenda Bukoba, basi ujue rule ni after every 350km...........unaanza kuangalia kushoto na kulia, then chap! chap!
 
Naomba na mimi niingie katika hiyo listi!!:A S-rose:

pakamweusi akifika kileleni anainua mkia wake juuu na kilio cha nyauu nyauuuuuuuuuu kwa fujo yan dzain inabd ufungulie radio mpk mwsho bila ivo unaweza ambia umebaka mtoto!!!!
 
Asante kwa kulinda maslahi ya bg bana.
haka kadig dig kanasumbua sana. ninawasiwasi usumbufu huu unaweza kupelekea mama kuba ikaamua kukaachia njia.:nono::nono::nono: siku nikijua ndo itakuwa:rip::rip: ya dig dig

:boink::boink:Ngoja nijilinde mapema Askofu yuko wapi nataka nipite Sacristia nichukue maji ya baraka nichukue na misale ya waumini niingie chapel :pray::pray::pray::pray:
 
Back
Top Bottom