MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Jamani msishangae, ndiye mimi MAHANJU ndugu yenu na mwanachama hai wa JF.eeh!!ndiye mimi,maamuzi ni yangu mimi. Nitafanya hivyo kama itawezekana ikiwa ni baada ya muda niliojipa kutafakari ukiisha.
Naona upande huo kuna ulaji,upatu upo kwa wingi bhana. Maisha yenyewe mafupi haya kwanini niishi kwa tabu na wanangu? Aaaah! Naunganga na mtani wangu msemaji wa zamani wa watani zangu kusaka tonge, naona ni muda muafaka kumpa nguvu huenda yeye
ataukwaa na mimi nikafata. Tena kakazana kweli kweli na kapinda kupiga domo vibaya mno.
Aaah! alijaribu Mtela akaula, akaenda Da July akaila, khaa hata mzee mwenzangu wa katiba mya nae akaula, ninasubiri nini mimi MAHANJU? Ako Samu juzi nae kaamua,Mdomo ninao, ngoja nikacheze sishndwi kamwe. Huku njaa come on!! Yaani kama huna kamradi cha kujishikaza kama cha rafiki angu yule utakufa.
Pande zile umate umate upo bhana, khahaa kununua ndinga zote zile za Arumeru pamoja na mwenye jimbo sio mchezo, ndio ujue kua upande ule pochi zimetunaa come on!!
Shida nini? Si ndio kuandika na kusema tuu? Tena hawa rafiki zangu nawajua in and out nikienda huko ni kukanyagia tuu mpaka mwisho. Yaani hakyamama nitasimama kusema mpaka povu linitoke hadi Chair aone.
Ngoja nijifikirie kwa kina halafu nifikie ukingoni, nina imani nikienda kuachia kadi yangu kwa class mate wangu ofisini kwake pale makao makuu ya jiji kuu ndio patakua pazuri pakuanzia.
Naona upande huo kuna ulaji,upatu upo kwa wingi bhana. Maisha yenyewe mafupi haya kwanini niishi kwa tabu na wanangu? Aaaah! Naunganga na mtani wangu msemaji wa zamani wa watani zangu kusaka tonge, naona ni muda muafaka kumpa nguvu huenda yeye
ataukwaa na mimi nikafata. Tena kakazana kweli kweli na kapinda kupiga domo vibaya mno.
Aaah! alijaribu Mtela akaula, akaenda Da July akaila, khaa hata mzee mwenzangu wa katiba mya nae akaula, ninasubiri nini mimi MAHANJU? Ako Samu juzi nae kaamua,Mdomo ninao, ngoja nikacheze sishndwi kamwe. Huku njaa come on!! Yaani kama huna kamradi cha kujishikaza kama cha rafiki angu yule utakufa.
Pande zile umate umate upo bhana, khahaa kununua ndinga zote zile za Arumeru pamoja na mwenye jimbo sio mchezo, ndio ujue kua upande ule pochi zimetunaa come on!!
Shida nini? Si ndio kuandika na kusema tuu? Tena hawa rafiki zangu nawajua in and out nikienda huko ni kukanyagia tuu mpaka mwisho. Yaani hakyamama nitasimama kusema mpaka povu linitoke hadi Chair aone.
Ngoja nijifikirie kwa kina halafu nifikie ukingoni, nina imani nikienda kuachia kadi yangu kwa class mate wangu ofisini kwake pale makao makuu ya jiji kuu ndio patakua pazuri pakuanzia.