Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
- Thread starter
- #21
Karibu....Yericko nahitaji ndoo moja ya bamia,
Karibu....Yericko nahitaji ndoo moja ya bamia,
Shukrani sana mkuuBoss Yericko Nyerere Well Said and Noted, Mpaka upate uwezo wa KIROHO tu ndio utaelewa ili Bandiko. Tuzidi kuliombea Taifa.
Naaam naam akijiuzuru urais na kujiunga na ccm nami nitaondoka chadema na kujiunga ccmNi vigumu kwa Magufuli kujiunga na CCM iliyojaa majizi akiifikria CCM anahisi kutapika mpaka anashindwa kusema CCM hoyee.
Jembe JPM piga kazi, wenye macho wanaona na kukuunga mkono.Mimi nitahama CHADEMA na kujiunga na CCM mpya kama rais wangu Magufuli nae atajiuzulu urais na kujiunga na CCM, hili nalisubiri kwa hamu, Nasema wazi na msemakweli ni mpenzi wa Mungu, Nasubiri siku John Pombe Magufuli nae "ajiuzulu" urais ili ajiunge na "CCM mpya" ya Humphrey Polepole kwa kuwa inapambana na ufisadi inayotekeleza ilani yake nk.... Kama kuna mtu anamshauri rais aina ya siasa anayofanya basi hamtakii mema taifa, na huyo ndiye adui wa watanzania kwakuwa kwakushauri kwake, analiangamiza taifa na chama cha mapinduzi cha mapinduzi.....!
CCM mpya haitajengwa kwa unafiki wa upanga, haitajengwa kwa dola wala haitajengwa kwa vitisho. CCM Mpya itajengwa kwa kuongoza nchi kwa kufuata katiba na sheria, kwakujenga chama cha siasa cha hiari sio hiki cha lazima, kwakupeleka mafawa hospitali, kwakuhakikisha mgao wa umeme unakuwa historia, kwakuhakikisha mikopo kwa wanafunzi vyuoni, kwakuhakikisha hakuna mtanzania anayebomolewa nyumba yake bila kulipwa fidia, na mambo mengine yote yenye kukiuka haki za kiraia na za kibiadamu
Jambo muhimu eleweni, njia hiyo haitaleta madawa hospitali, haitaleta elimu bora, haitaleta nchi ya viwanda, wala haitaleta bei ya sukari kuwa chini dukani.
Dukani kwa Mpemba ama kwa Mangi ukienda huendi na kadi ya CCM, unaenda na sarafu yenye kichwa cha Mwalimu Julius Nyerere na mwenge wa uhuru tu, ama utakwenda dukani na sarafu yenye kichwa cha Abeid Amani Karume na mmea wa Karafuu tu...
Ati kuna mtu anafurahishwa na utendaji wa Rais Magufuli ndio anajiuzulu uongozi wa kisiasa aliopewa na wananchi??? Kwani Magufuli anawatumikia watu gani kama sio haohao wananchi?
Ninaomba mtu yoyote nchini awe Chakubanga au Kinana au yeyote yule, aje hadharani akiwa HURU kabisa aseme Rais Magufuli amefanya nini KIPYA kikubwa CCMMASLAHI kwa Taifa tofauti na watangulizi wake?????
Mmoja ya wanachadema aliyelazimishwa kwenda CCM kwa shinikizo la vyombo vya serikali vinavyotumia kodi za umma amenululiwa akisema:,
______________________
"Wapendwa kazi zangu zimevulugwa Sana. Na urudisha mwili CCM, kulinda zilizo baki. Nature ya kazi yangu inategemea Sana serikali, I will never speak negativity about CHADEMA, is a part which I love most. Wachache wanajua niliwashirikisha namna nilivyofilisiwa kupitia TRA, kuporwa Zahanati yangu, kuzuiwa biashara yangu ya mbao. Kuondolewa kwenye jengo la ofisi yangu makao makuu kwa hila. Kuzuiwa kwa hila mchakato wa kupima shamba langu kirare. Hivi karibuni Shughuli zangu Lushoto kuzuiwa kwa hila. Mengi na mengi haya ninayosema ni machache....
David Chanyeghe"
______________
Ukweli unabaki kuwa ukweli, hata kama utasimamiwa na mtu mmoja tu ama ule uliosimamiwa na Mtume Mohamed na Yesu Kristo, Safari ya Mabadiliko bado inaendelea, wapo ambao tulianza nao safari na hawatafika mwisho, wasiwakatishe tamaa, kwani wapo wapya ambao watajiunga nasi kwenye safari hii. Ila kwa uhakika ni safari ngumu inayokutaka ujikane kwaajili ya taifa lako.
Na Yericko Nyerere
Mimi nitahama CHADEMA na kujiunga na CCM mpya kama rais wangu Magufuli nae atajiuzulu urais na kujiunga na CCM, hili nalisubiri kwa hamu, Nasema wazi na msemakweli ni mpenzi wa Mungu, Nasubiri siku John Pombe Magufuli nae "ajiuzulu" urais ili ajiunge na "CCM mpya" ya Humphrey Polepole kwa kuwa inapambana na ufisadi inayotekeleza ilani yake nk.... Kama kuna mtu anamshauri rais aina ya siasa anayofanya basi hamtakii mema taifa, na huyo ndiye adui wa watanzania kwakuwa kwakushauri kwake, analiangamiza taifa na chama cha mapinduzi cha mapinduzi.....!
CCM mpya haitajengwa kwa unafiki wa upanga, haitajengwa kwa dola wala haitajengwa kwa vitisho. CCM Mpya itajengwa kwa kuongoza nchi kwa kufuata katiba na sheria, kwakujenga chama cha siasa cha hiari sio hiki cha lazima, kwakupeleka mafawa hospitali, kwakuhakikisha mgao wa umeme unakuwa historia, kwakuhakikisha mikopo kwa wanafunzi vyuoni, kwakuhakikisha hakuna mtanzania anayebomolewa nyumba yake bila kulipwa fidia, na mambo mengine yote yenye kukiuka haki za kiraia na za kibiadamu
Jambo muhimu eleweni, njia hiyo haitaleta madawa hospitali, haitaleta elimu bora, haitaleta nchi ya viwanda, wala haitaleta bei ya sukari kuwa chini dukani.
Dukani kwa Mpemba ama kwa Mangi ukienda huendi na kadi ya CCM, unaenda na sarafu yenye kichwa cha Mwalimu Julius Nyerere na mwenge wa uhuru tu, ama utakwenda dukani na sarafu yenye kichwa cha Abeid Amani Karume na mmea wa Karafuu tu...
Ati kuna mtu anafurahishwa na utendaji wa Rais Magufuli ndio anajiuzulu uongozi wa kisiasa aliopewa na wananchi??? Kwani Magufuli anawatumikia watu gani kama sio haohao wananchi?
Ninaomba mtu yoyote nchini awe Chakubanga au Kinana au yeyote yule, aje hadharani akiwa HURU kabisa aseme Rais Magufuli amefanya nini KIPYA kikubwa CCMMASLAHI kwa Taifa tofauti na watangulizi wake?????
Mmoja ya wanachadema aliyelazimishwa kwenda CCM kwa shinikizo la vyombo vya serikali vinavyotumia kodi za umma amenululiwa akisema:,
______________________
"Wapendwa kazi zangu zimevulugwa Sana. Na urudisha mwili CCM, kulinda zilizo baki. Nature ya kazi yangu inategemea Sana serikali, I will never speak negativity about CHADEMA, is a part which I love most. Wachache wanajua niliwashirikisha namna nilivyofilisiwa kupitia TRA, kuporwa Zahanati yangu, kuzuiwa biashara yangu ya mbao. Kuondolewa kwenye jengo la ofisi yangu makao makuu kwa hila. Kuzuiwa kwa hila mchakato wa kupima shamba langu kirare. Hivi karibuni Shughuli zangu Lushoto kuzuiwa kwa hila. Mengi na mengi haya ninayosema ni machache....
David Chanyeghe"
______________
Ukweli unabaki kuwa ukweli, hata kama utasimamiwa na mtu mmoja tu ama ule uliosimamiwa na Mtume Mohamed na Yesu Kristo, Safari ya Mabadiliko bado inaendelea, wapo ambao tulianza nao safari na hawatafika mwisho, wasiwakatishe tamaa, kwani wapo wapya ambao watajiunga nasi kwenye safari hii. Ila kwa uhakika ni safari ngumu inayokutaka ujikane kwaajili ya taifa lako.
Na Yericko Nyerere
Kamanda moja kumsifu kamanda mwingine kuna ubaya ganiWewe jamaa hii hoja yako ni ya akili sana!!
Hatusifu watu tunasifu hoja zao!!Kamanda moja kumsifu kamanda mwingine kuna ubaya gani
Hapa ndipo unapojua Slaa ndiye aliyekuwa mpinzani wa kweli.Afanye kelele mtaani ili ashindiliwe risasi?
Si mlikuwa mnamwita kibabu!! Lakini kwani hizo siasa alikuwa anafanya peke yake? Kama Arusha alipopigiwa Mkewe na kina mbowe nao pia walikowepo. Mbona siku anauawa Mwangosi hakwenda Nyololo wakati ilipangwa akafanye mkutano huko?Hapa ndipo unapojua Slaa ndiye aliyekuwa mpinzani wa kweli.
Lazima mpigwe vita njie maliberali uchwara. Demokrasia yenu ya kukomaza rushwa kila mahali na kuendelea kudhibiti uchumu peke yenu watu wamegundua ujanja wenu. Watu wanataka uadilifu kwenye uchumi kila mtu afaidike kwa jasho lake. Sio kuendeleza unyonyaji wizi wa mali na rasilimali za taifa kufaidisha watu wachache.Mimi nitahama CHADEMA na kujiunga na CCM mpya kama rais wangu Magufuli nae atajiuzulu urais na kujiunga na CCM, hili nalisubiri kwa hamu, Nasema wazi na msemakweli ni mpenzi wa Mungu, Nasubiri siku John Pombe Magufuli nae "ajiuzulu" urais ili ajiunge na "CCM mpya" ya Humphrey Polepole kwa kuwa inapambana na ufisadi inayotekeleza ilani yake nk.... Kama kuna mtu anamshauri rais aina ya siasa anayofanya basi hamtakii mema taifa, na huyo ndiye adui wa watanzania kwakuwa kwakushauri kwake, analiangamiza taifa na chama cha mapinduzi cha mapinduzi.....!
CCM mpya haitajengwa kwa unafiki wa upanga, haitajengwa kwa dola wala haitajengwa kwa vitisho. CCM Mpya itajengwa kwa kuongoza nchi kwa kufuata katiba na sheria, kwakujenga chama cha siasa cha hiari sio hiki cha lazima, kwakupeleka mafawa hospitali, kwakuhakikisha mgao wa umeme unakuwa historia, kwakuhakikisha mikopo kwa wanafunzi vyuoni, kwakuhakikisha hakuna mtanzania anayebomolewa nyumba yake bila kulipwa fidia, na mambo mengine yote yenye kukiuka haki za kiraia na za kibiadamu
Jambo muhimu eleweni, njia hiyo haitaleta madawa hospitali, haitaleta elimu bora, haitaleta nchi ya viwanda, wala haitaleta bei ya sukari kuwa chini dukani.
Dukani kwa Mpemba ama kwa Mangi ukienda huendi na kadi ya CCM, unaenda na sarafu yenye kichwa cha Mwalimu Julius Nyerere na mwenge wa uhuru tu, ama utakwenda dukani na sarafu yenye kichwa cha Abeid Amani Karume na mmea wa Karafuu tu...
Ati kuna mtu anafurahishwa na utendaji wa Rais Magufuli ndio anajiuzulu uongozi wa kisiasa aliopewa na wananchi??? Kwani Magufuli anawatumikia watu gani kama sio haohao wananchi?
Ninaomba mtu yoyote nchini awe Chakubanga au Kinana au yeyote yule, aje hadharani akiwa HURU kabisa aseme Rais Magufuli amefanya nini KIPYA kikubwa CCMMASLAHI kwa Taifa tofauti na watangulizi wake?????
Mmoja ya wanachadema aliyelazimishwa kwenda CCM kwa shinikizo la vyombo vya serikali vinavyotumia kodi za umma amenululiwa akisema:,
______________________
"Wapendwa kazi zangu zimevulugwa Sana. Na urudisha mwili CCM, kulinda zilizo baki. Nature ya kazi yangu inategemea Sana serikali, I will never speak negativity about CHADEMA, is a part which I love most. Wachache wanajua niliwashirikisha namna nilivyofilisiwa kupitia TRA, kuporwa Zahanati yangu, kuzuiwa biashara yangu ya mbao. Kuondolewa kwenye jengo la ofisi yangu makao makuu kwa hila. Kuzuiwa kwa hila mchakato wa kupima shamba langu kirare. Hivi karibuni Shughuli zangu Lushoto kuzuiwa kwa hila. Mengi na mengi haya ninayosema ni machache....
David Chanyeghe"
______________
Ukweli unabaki kuwa ukweli, hata kama utasimamiwa na mtu mmoja tu ama ule uliosimamiwa na Mtume Mohamed na Yesu Kristo, Safari ya Mabadiliko bado inaendelea, wapo ambao tulianza nao safari na hawatafika mwisho, wasiwakatishe tamaa, kwani wapo wapya ambao watajiunga nasi kwenye safari hii. Ila kwa uhakika ni safari ngumu inayokutaka ujikane kwaajili ya taifa lako.
Na Yericko Nyerere
Kafanikisha nini mkuu? TujuzeBwana John anagonga glass saa hizi kwa kufanikisha yake juu ya Mange
Tafsir ya ufisadi ama wizi wa mali ya umma, ni kutumia mamlaka ya umma alio nayo mtu kutumia rasilimali za nchi na taifa kwa maslahi binafsi ama upendeleo kwa watu wake wa karibu kwa kificho ama kwa udhahir pasipo kufuata taratibu stahiki zilizowekwa kwa mujibu wa sheria!!.....Kuchota pesa ya umma pasipo kupitishwa bungen kwa ajil ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa na hospital ya rufaa kijijin ilhal miundombinu ya awal ilikidhi hitaji la jamii husika, huu pua ni UFISADI NA NI SCANDAL NYINGINE PIA!! TWAJIVIKA MASK USONI KWA KUJIFANYA HATUONI....mwizi n mwizi tu hata akiiigiza wema kias gan!!Ni vigumu kwa Magufuli kujiunga na CCM iliyojaa majizi akiifikria CCM anahisi kutapika mpaka anashindwa kusema CCM hoyee.
Naaam naam akijiuzuru urais na kujiunga na ccm nami nitaondoka chadema na kujiunga ccm
Nimekuona ww ni sawa na mende alielala chaliNimesoma naona pumba tu, umetoka kucheck prisonbreak kupata nondo za vitabu vyako.?
Mkuu mastermind wa hii game ni DAB, stiv, na yule kubwa jinga! Anachofanya DAB ni kujijengea ngome ya kuendelea kubaki na kufaidi keki ya taifa kupitia mgongo wa JPM.Viroja tu....
Huyo jamaa hua hajielewi kabisa, achana nae, Mimi nimeacha hata kujibu quotes zake anazoniquote achilia mbali kusoma comments zake, nikiona tu jina lake naruka.Nimekuona ww ni sawa na mende alielala chali