Nitajieni magonjwa ya mlipuko ambayo yameanzia Afrika na kusambaa duniani

mwanaNjilo

JF-Expert Member
Aug 30, 2018
277
195
Stay Home, Stay Safe!
(Naomba iwe salaam ya leo!)

Wanajamvi, naomba kukiri kua cjafanya research yakutosha kwenye hili ninalotaka kuuliza. Mtasaidia kuongeza mnachokijua ili nikamilishe uzi huu...

For the records, magonjwa ya mlipuko ambayo yalikua na status ya 'World Pandemic Diseases' ni Plague, Kipindupindu, Spanish Flu, Homa kali ya mapafu (corona-caused by COVID-19)etc.
Hayo ni baadhi ya pandemics ninazokumbuka nikiwa mbele ya hii keyboard...

Najaribu kutafakari, ni kwanini pandemic diseases nyingi origin yake ni 'outside' of African territories?? Yaani, ni kwanini yanaanzia nje ya Africa na kuenea maeneo mengne including Africa?

Na je, ni kwanini magonjwa mengine ya mlipuko yanayoanzia Africa na kuathiri kwa kiwango kikubwa population ya kiafrika (esp, sub sahara Africa) kama vile Ebola, hayavuki African boundaries na kua Trans-continental km baadhi ya magonjwa mengine yanayoanzia huko kwa wenzetu??

Napata wasiwasi kuona magonjwa ya mlipuko yanayosababishwa na vimelea vya namna moja (virus, though different nature of virus) yanasambaa nakuathiri kwa kiasi kikubwa maeneo ya Africa na kua na case tofauti pale gonjwa linapoanzia Africa.

Naomba mjaribu kunishawishi ili niamini kwamba, Waafrika tuna medical techology kubwa ya kupambana na explosive diseases ili zisisambae worldwide na kua pandemic? Au Wazungu hawana Control over Explosive diseases kama tulionao cc waafrika, mana Ebola hajavuka mipaka kwenda kwao, lakin COVID-19 na mengineyo kutoka kwao yamefanikiwa kufika kwetu Africa na worldwide. Why?!

Kwa alienielewa kwenye hilo naomba aniweke sawa...mana napata hisia mbaya kwamba kuna makusudi yakutufanya cc waafrika kua PlayGround ya Laboratories za Wazungu!

Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna ugonjwa fulani tulikuwa twafundishwa primary na secondary, nkiukumbuka ntarud kuandika jina lake
 
Ukishasema Afrika, umetaja maradhi. Kingine kinachotudumbua ni ujinga na umaskini.
Tatizo ni kukosa kujitambua. Nchi za Afrika unakuta waziri wa afya na familia yake wanatibiwa Ulaya; watoto wa waziri wa elimu wanasoma ulaya; waziri wa fedha akaunti zake ni benki za ulaya; viongozi wa juu wakipata madaraka ni kujijenga ulaya.
Mungu ibariki Afrika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishasema Afrika, umetaja maradhi. Kingine kinachotudumbua ni ujinga na umaskini.
Tatizo ni kukosa kujitambua. Nchi za Afrika unakuta waziri wa afya na familia yake wanatibiwa Ulaya; watoto wa waziri wa elimu wanasoma ulaya; waziri wa fedha akaunti zake ni benki za ulaya; viongozi wa juu wakipata madaraka ni kujijenga ulaya.
Mungu ibariki Afrika

Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo ni changamoto nyngne man. Kwahyo unataka kusema juku kwetu yakija hayo magojwa yao hatuwez kupambana nayo kwakua viongoz wetu wanaenda kutibiw abroad..afu by saying so, una manisha kwmba wazungu wao wana uwezo wakupamban na magonjw yanayoanzia huku kwetu kwnda kwao ndomana hatuskii yakiwa world pandemic?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kwamba Afrika hakuna anaetuwazia, ukiibuka ugonjwa kwetu wanachukua raia wao halafu wanazidisha masharti ya sisi kuingia kwao. Mpaka uende kwao wanahakikisha kweli uko fit.

Lakini ugonjwa umeanzia China, na bado WHO wanatetea dunia isiwafungie mipaka wachina. Ingekuwa Afrika usingewasikia WHO wakisema hivyo.

Ukiwa maskini usitegemee kumuathiri tajiri, ila tajiri lazima amuathiri maskini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kwamba Afrika hakuna anaetuwazia, ukiibuka ugonjwa kwetu wanachukua raia wao halafu wanazidisha masharti ya sisi kuingia kwao. Mpaka uende kwao wanahakikisha kweli uko fit.

Lakini ugonjwa umeanzia China, na bado WHO wanatetea dunia isiwafungie mipaka wachina. Ingekuwa Afrika usingewasikia WHO wakisema hivyo.

Ukiwa maskini usitegemee kumuathiri tajiri, ila tajiri lazima amuathiri maskini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Now you're talking!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom