Uchaguzi 2020 Nitaichagua tena CCM tarehe 28 Oktoba

Bekiri

Member
Jun 30, 2013
14
63
Nitapiga KURA ya NDIO kuichagua CCM ifikapo tarehe 28 Oktoba 2020.

Nitaichagua kwa sababu sababu zifuatazo;

1. Ndicho Chama pekee kinacholinga na kutetea Muungano wa Tangangika na Zanzibar.

2. Ndicho chama pekee ambacho Wagombea wake wanapinga hadharani ushoga.

3. Ndicho chama pekee kimeimarisha misingi ya Uchumi wa Kitaifa.

4. Ndicho chama pekee ambaco kinaimarisha huduma za kijamii.

5. Ndicho Chama pekee ambacho kinaimarisha misingi ya maadili na uongozi bora.

6. Ndicho Chama pekee kinachodumisha TUNU za Taifa.

7. Ndicho Chama pekee kinaimarisha demokrasia nchini.

8. Ndicho chama pekee kinachoendeleza harakati za mapinduzi dhidi ya unyonge.

9. Ndicho Chama pekee kinachopinga uonevu na udhalimu duniani.

10. Ndicho chama pekee kinachowakilisha Wakulima na Wafanyakazi.

CCM NI SAUTI YA WATU, NITAICHAGUA TENA!!
#MitanoTena.
MenukaJr.
 
Ndiyo chama pekee kilichowatelekeza watumishi wa umma kwa miaka 5
 
Mabadiliko hayawezi kusubiri kila mtu ajitambue/awe tayari kwa mabadiliko.

Ni kama ambavyo ujio wa Masiha hauwezi subiri kila mtu awe tayari kumpokea ikiwa ni pamoja na kutubu dhambi zetu.
 
WATANZANIA MIMI KIJANA WENU NINAWAOMBA MSIFANYE MAKOSA 2020 YA KUIPA KURA CCM.

Tutaumizwa sana, Tutalia sana ,Tutatekwa sana, Tutauwawa sana, TutapIgwa lisasi sana.

Kwa KIFUPI Itakuwa kipindi cha MATESO SANA.
NAOMBA MSIMPE KURA MAGUFULI ANA KISASI NA MAKUNDI YOOTE AKISHINDA ANAMPANGO WA KUJIONGEZEA MIAKA KUWA RAIS ASIYE NA UKOMO.
 
unapoteza muda wako. Magufuli hawezi kushinda labda ashinde njaa
Oct 28, uje urudie hii kauli hapa.Ni ma punguani pekee wanaojua kuwa Lissu anaweza shinda. Chama cha Mbowe, baada ya kupoteza ukawa 2015 pamoja na kuzungusha mikono na miguu sahauni Urais tena. Jipangeni upya.
 
Kuchagua CCM Ni Umechagua kupingana na Mungu.
CCM ya Sasa Ni Genge Kama magenge mengine ya kihalifu.
Ha ha ha kama ccm ni genge la uhalifu, chama cha Mbowe kitakuwa nini?.Mnafanya siasa kichaka chenu, Oct 28 twakitia moto. Hakuna genge hatari kwa taifa hili kama hii saccos ya huyu mangi..
 
SABABU 31 ZA KUMKATAA MAGUFULI 28 OKTOBA 2020:

1. Hajatoa ajira miaka 5
2. Hajaongeza mishahara kwa miaka 5
3. Ameongeza makato HESLB toka 8% to 15%
4. Amefukuza wafanyakazi na hajawapa hata senti tano kisa vyeti feki
5. Kaondoa fao la kujitoa NSSF
6. Kaondoa wanunuzi binafsi wa kahawa waliokuwa wanatoa bei nzuri
7. Karudisha gharama za matibabu kwa watoto na wajawazito
8. Anatoza maiti kodi kuzitoa mochwari
9. Kavunja katiba ya nchi kuzuia wapinzani kufanya mikutano halali ya siasa
10. Katunga sheria kandamizi kukomoa watu
11. Kabambikia kesi watu kwa visasi na chuki
12. Kafilisi wafanyabiashara kwa chuki binafsi
13. Kathibiti mashirika ya kutetea haki za binadamu
14. Kadhibiti na kutisha vyombo vya habari na kuviamrisha vimtangaze yeye tu na chama chake
15. Kavuruga sana mahusiano ya kimataifa
16. Kavuruga demokrasia na anataka wananchi waishi kama mifugo yake kufuata analotaka
17. Kazima bunge live na kulitumia bunge kama muhuri kufanya mambo yake
18. Mahakama imebinywa na imekuwa siyo huru tena
19. Kawadhibiti viongozi wa dini wanaomkosoa na kumwambia ukweli
20. Kanunua ndege bila kufuata sheria ya PPRA
21. Watu wengi wameuwawa na kupotea na kutekwa
22.Amelea na kulinda kikosi kazi cha "watu wasiojulikana"
23. Amepandikiza hofu,ukatili na dhuluma kama nyenzoza siasa mpya za Tanzania na utu umetoweka
24. Kakivuruga chama chake na kukimega vipande vipande
25. Kajenga uwanja wa ndege kwao bila ya approval ya bunge wala cabinet
26. Alisema tutaishi kama MASHETANI.. Kwa madai kuwa tulikuwa tunaishi kama Malaika. Hakika amelitimiza hilo.
27. Kuwa na kundi la watu wasiojulikana awamu hii ya tano na polisi hawajawai

28. Ni mwongo kupindukia – mwaka 2015 wakati anaomba kura aliongopa mengi km kumpa kila mwalimu kompyuta, kukipa kila Kijiji milioni 50 nk. Leo hii tunaingia uchaguzi mwingine, hajatimiza hayo na anaahidi mapya bila aibu.

29. Kudhalilisha akina mama kwenye majukwaa yake ya kisiasa

30. Kula rambirambi za wahanga wa majanga. Rais anayekula rambirambi zilizotolewa na watu mbalimbali ikiwemo nchi rafiki hatufai Watanzania.

31. Kuwakana Watanzania waliopata majanga km Wanakagera wakati wa tetemeko la ardhi.



 
SABABU 31 ZA KUMKATAA MAGUFULI 28 OKTOBA 2020:

1. Hajatoa ajira miaka 5
2. Hajaongeza mishahara kwa miaka 5
3. Ameongeza makato HESLB toka 8% to 15%
4. Amefukuza wafanyakazi na hajawapa hata senti tano kisa vyeti feki
5. Kaondoa fao la kujitoa NSSF
6. Kaondoa wanunuzi binafsi wa kahawa waliokuwa wanatoa bei nzuri
7. Karudisha gharama za matibabu kwa watoto na wajawazito
8. Anatoza maiti kodi kuzitoa mochwari
9. Kavunja katiba ya nchi kuzuia wapinzani kufanya mikutano halali ya siasa
10. Katunga sheria kandamizi kukomoa watu
11. Kabambikia kesi watu kwa visasi na chuki
12. Kafilisi wafanyabiashara kwa chuki binafsi
13. Kathibiti mashirika ya kutetea haki za binadamu
14. Kadhibiti na kutisha vyombo vya habari na kuviamrisha vimtangaze yeye tu na chama chake
15. Kavuruga sana mahusiano ya kimataifa
16. Kavuruga demokrasia na anataka wananchi waishi kama mifugo yake kufuata analotaka
17. Kazima bunge live na kulitumia bunge kama muhuri kufanya mambo yake
18. Mahakama imebinywa na imekuwa siyo huru tena
19. Kawadhibiti viongozi wa dini wanaomkosoa na kumwambia ukweli
20. Kanunua ndege bila kufuata sheria ya PPRA
21. Watu wengi wameuwawa na kupotea na kutekwa
22.Amelea na kulinda kikosi kazi cha "watu wasiojulikana"
23. Amepandikiza hofu,ukatili na dhuluma kama nyenzoza siasa mpya za Tanzania na utu umetoweka
24. Kakivuruga chama chake na kukimega vipande vipande
25. Kajenga uwanja wa ndege kwao bila ya approval ya bunge wala cabinet
26. Alisema tutaishi kama MASHETANI.. Kwa madai kuwa tulikuwa tunaishi kama Malaika. Hakika amelitimiza hilo.
27. Kuwa na kundi la watu wasiojulikana awamu hii ya tano na polisi hawajawai

28. Ni mwongo kupindukia – mwaka 2015 wakati anaomba kura aliongopa mengi km kumpa kila mwalimu kompyuta, kukipa kila Kijiji milioni 50 nk. Leo hii tunaingia uchaguzi mwingine, hajatimiza hayo na anaahidi mapya bila aibu.

29. Kudhalilisha akina mama kwenye majukwaa yake ya kisiasa

30. Kula rambirambi za wahanga wa majanga. Rais anayekula rambirambi zilizotolewa na watu mbalimbali ikiwemo nchi rafiki hatufai Watanzania.

31. Kuwakana Watanzania waliopata majanga km Wanakagera wakati wa tetemeko la ardhi.



Iwe kwa mwanga au giza, mvua au jua Magufuli mitano mingine. Hatuwezi kurudisha uchumi wetu mikononi mwa mabepari.
 
*ANAANDIKA ALBERT MSANDO KUHUSU UNAFIKI NA USALITI WA ZITTO*

Ndugu Kabwe Z. Ruyagwa Zitto,
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo,
Bangwe, Kigoma Mjini.

Kwanza, nichukue nafasi hii kukupa pole kwa ajali na kumshukuru Mungu kwa kukuponya na ajali hiyo.

Pili, nimeona kwa haraka kabisa nibebe jukumu la kukujibu wewe binafsi kuhusu Tamko lako lenye kichwa cha habari, “Nitampigia Kura Tundu Lissu ili awe Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania”.

Nilitegemea sana kwamba baada ya kufungwa kengele ya unafiki na usaliti na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo miaka yote ile leo ungesimama na kuwaeleza ukweli watanzania badala ya hiki ulichokifanya.

Mimi nilikuwa mtu wa mwisho kabisa kuamini kwamba wewe ni mnafiki na msaliti. Tulisimama wote muda wote ulipopewa jina baya ili ufe kisiasa (“wazungu wanasema “give a dog a bad name and hang it”).

Ila leo umethibitisha yaliyosemwa na hao ulioamua kushikana nao mikono. Hii yote ni kwa sababu tu ya uchu wa madaraka na imani kwamba kuna uwezekano wa kupata nafasi endapo TL atashinda. Umediriki KUTAMKA hadharani UONGO na UPOTOSHAJI ili kukidhi matamanio ya nafsi yako.

Umesaliti na kutupa chini ya basi misimamo yako binafsi na ya wale ambao wameendelea kukuamini hata baada ya sisi wengine kukaa pembeni na kukuacha ili ujenge Chama chako. Najua hawatakwambia ila mioyoni mwao watakuwa wanaumia sana na sasa wameelewa wewe ni mtu wa aina gani. Ila ndio basi tena!

Nikukumbushe mambo mawili tu ambayo umeyasemea UONGO na kujivika joho na UNAFIKI kwenye tamko lako.

1. Umetamka kwamba kutokana na uwepo wa sheria kandamizi ya Vyama vya Siasa, ushirikiano wa kisheria tumeona hauna maana kwetu kama Chama kwani Msajili wa Vyama hawezi kuidhinisha jambo linalokwenda kuiondoa CCM madarakani. Zitto, wewe ni muongo sana. Sana. Kifungu cha 11A cha Sheria ya Vyama vya Siasa inaruhusu USHIRIKIANO wa vyama vya siasa MIEZI MITATU kabla ya uchaguzi. Mikutano Mikuu ya Vyama husika lazima vipitishe maamuzi ya ushirikiano huo (coalition). Nikuulize, mngekaa lini? Miezi mitatu mazungumzo yenu na CHADEMA kuhusu ushirikiano yalikwamishwa na nini? Na nani? PIA Msajili wa Vyama hana mamlaka wala hapaswi KUIDHINISHA AU KURIDHIA ushirikiano wa vyama. Mkishasaini na kukabidhi BASI. Hata hili umeamua kuongopa.
2. Umetamka, “zaidi NINAMUAMINI LISSU kutokana na historia yake ya kupigania Haki za Watu”. Umesahau nani alikuwa kinara wa sisi kufukuzwa CHADEMA kwa aibu? Umesahau? Ni nani alikunyima HAKI ya kusikilizwa? Ni nani alisema Kamati Kuu isikusikilize wewe ni msaliti? Nani alisema hupaswi kuaminiwa kwa chochote? Unaongopa. Unakana hata kile nafsi yako inachokijua na ilichopitia kwa uchungu mkubwa. Umemsahau Tundu Lissu tuliekimbizana nae Mahakamani kusimamia haki zako za kutaka uenyekiti, kusikilizwa na heshima kwa jamii?

Nimalizie kwa kukukumbusha, umeshindwa kutamka nani achaguliwe kwenye Kata na Majimbo. Sio kwa bahati mbaya. Nafsi yako imekusuta. Umesema wapigiwe wagombea wenye ushawishi. Mbona mliweka wagombea ambao hawana ushawishi? Hutaki umma ujue kwamba Chadema walikugomea kukuachia baadhi ya majimbo na kata? Na sababu ni ile ile kwamba hawakuamini? Na sehemu ambazo hamjaweka wagombea ni kutokana na ukosefu wa fedha? Si ukiri tu?

Bernard Membe. Umemuacha kwenye mataa. Huyu wala simuhurumii. Alitaka mwenyewe. Angetumia akili kidogo tu angejua kona ambayo ungemuachia. Tatizo lake (na lako) ni uongo. Alikudanganya ana FEDHA nyingi za uchaguzi kumbe hata hela ya fomu ilikuwa ni mtihani kuitoa. Madeni aliyokuachia yatalipika kwa kudra za Mwenyezi Mungu. ILA hujataka hata kumzungumzia kwenye tamko lako. Wala hatma yake hujagusia. Kichaka kwamba WEWE BINAFSI utampigia kura Tundu Lissu ni cha kitoto sana. Wenye akili wataelewa. Imefika mwisho.

#JPMMitanoTena #CCM

Albert Gasper Msando,
MwanaCCM, Ndugu yako.
16/10/2020.

Mkuu umepotelea wapi? michango yako muhimu kulekea kupiga kura 28/10.
 
Ccm ni chama mama wa demokrasia afrika nzima.
-Chama cha watanzania, chenye kupinga Rushwa, ufisadi, uonevu na ukoloni.
-Chama chenye kulinda na kutetea tunu za taifa.
-Chama chenye kufua viongozi kwa ajili ya sasa na baadae.
-Chama chenye kusambaza maendeleo kwa nchi nzima, sio kubagua Kutokana na kabila, kanda, dini etc.
-Chama chenye nidhamu, kwa wagombea, rasilimali za chama.
Chama cha Mbowe:
-Rushwa ndio nyumbani, hasa ile ya vitu maalum na uongozi.
-Chama wakala wa beberu, wao wanaona liwalo na liwe kisa wao kwao Ubelgiji.
-Chama chenye kuokota viongozi, wao kiongozi mkuu ni mwenyekiti yeye ndio kila kitu. Amri zake ni sheria hutaki ondoka cc Mwigamba, mkumbo na msaliti Zitto.
-Chama kinachotaka kugawa watanzania kwa kanda. Viongozi wengi wa juu, wa hilo genge wanatoka kanda flani hivi.
-Chama kisicho nidhamu ya pesa, uongozi, staha. Pesa zote ni za Mbowe, mwanachama ni marufuku kuhoji. Wengi wa viongozi wa juu wa hilo genge, ni wasagaji na mashoga. Wengi hasa wadada wanalazimika kutoa utu wao kwa Mwenyekiti ili tu wapate nafasi. Nafasi kwa wanawake chamani ni almost zero.
Mgombea kutoka chama cha Mbowe, hatufai kama taifa. Watanzania tuwaogope kama ukoma.
 
SABABU 31 ZA KUMKATAA MAGUFULI 28 OKTOBA 2020:

1. Hajatoa ajira miaka 5
2. Hajaongeza mishahara kwa miaka 5
3. Ameongeza makato HESLB toka 8% to 15%
4. Amefukuza wafanyakazi na hajawapa hata senti tano kisa vyeti feki
5. Kaondoa fao la kujitoa NSSF
6. Kaondoa wanunuzi binafsi wa kahawa waliokuwa wanatoa bei nzuri
7. Karudisha gharama za matibabu kwa watoto na wajawazito
8. Anatoza maiti kodi kuzitoa mochwari
9. Kavunja katiba ya nchi kuzuia wapinzani kufanya mikutano halali ya siasa
10. Katunga sheria kandamizi kukomoa watu
11. Kabambikia kesi watu kwa visasi na chuki
12. Kafilisi wafanyabiashara kwa chuki binafsi
13. Kathibiti mashirika ya kutetea haki za binadamu
14. Kadhibiti na kutisha vyombo vya habari na kuviamrisha vimtangaze yeye tu na chama chake
15. Kavuruga sana mahusiano ya kimataifa
16. Kavuruga demokrasia na anataka wananchi waishi kama mifugo yake kufuata analotaka
17. Kazima bunge live na kulitumia bunge kama muhuri kufanya mambo yake
18. Mahakama imebinywa na imekuwa siyo huru tena
19. Kawadhibiti viongozi wa dini wanaomkosoa na kumwambia ukweli
20. Kanunua ndege bila kufuata sheria ya PPRA
21. Watu wengi wameuwawa na kupotea na kutekwa
22.Amelea na kulinda kikosi kazi cha "watu wasiojulikana"
23. Amepandikiza hofu,ukatili na dhuluma kama nyenzoza siasa mpya za Tanzania na utu umetoweka
24. Kakivuruga chama chake na kukimega vipande vipande
25. Kajenga uwanja wa ndege kwao bila ya approval ya bunge wala cabinet
26. Alisema tutaishi kama MASHETANI.. Kwa madai kuwa tulikuwa tunaishi kama Malaika. Hakika amelitimiza hilo.
27. Kuwa na kundi la watu wasiojulikana awamu hii ya tano na polisi hawajawai

28. Ni mwongo kupindukia – mwaka 2015 wakati anaomba kura aliongopa mengi km kumpa kila mwalimu kompyuta, kukipa kila Kijiji milioni 50 nk. Leo hii tunaingia uchaguzi mwingine, hajatimiza hayo na anaahidi mapya bila aibu.

29. Kudhalilisha akina mama kwenye majukwaa yake ya kisiasa

30. Kula rambirambi za wahanga wa majanga. Rais anayekula rambirambi zilizotolewa na watu mbalimbali ikiwemo nchi rafiki hatufai Watanzania.

31. Kuwakana Watanzania waliopata majanga km Wanakagera wakati wa tetemeko la ardhi.



Umeandika vema. Ni taahira atakayekupinga.
 
*ANAANDIKA ALBERT MSANDO KUHUSU UNAFIKI NA USALITI WA ZITTO*

Ndugu Kabwe Z. Ruyagwa Zitto,
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo,
Bangwe, Kigoma Mjini.

Kwanza, nichukue nafasi hii kukupa pole kwa ajali na kumshukuru Mungu kwa kukuponya na ajali hiyo.

Pili, nimeona kwa haraka kabisa nibebe jukumu la kukujibu wewe binafsi kuhusu Tamko lako lenye kichwa cha habari, “Nitampigia Kura Tundu Lissu ili awe Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania”.

Nilitegemea sana kwamba baada ya kufungwa kengele ya unafiki na usaliti na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo miaka yote ile leo ungesimama na kuwaeleza ukweli watanzania badala ya hiki ulichokifanya.

Mimi nilikuwa mtu wa mwisho kabisa kuamini kwamba wewe ni mnafiki na msaliti. Tulisimama wote muda wote ulipopewa jina baya ili ufe kisiasa (“wazungu wanasema “give a dog a bad name and hang it”).

Ila leo umethibitisha yaliyosemwa na hao ulioamua kushikana nao mikono. Hii yote ni kwa sababu tu ya uchu wa madaraka na imani kwamba kuna uwezekano wa kupata nafasi endapo TL atashinda. Umediriki KUTAMKA hadharani UONGO na UPOTOSHAJI ili kukidhi matamanio ya nafsi yako.

Umesaliti na kutupa chini ya basi misimamo yako binafsi na ya wale ambao wameendelea kukuamini hata baada ya sisi wengine kukaa pembeni na kukuacha ili ujenge Chama chako. Najua hawatakwambia ila mioyoni mwao watakuwa wanaumia sana na sasa wameelewa wewe ni mtu wa aina gani. Ila ndio basi tena!

Nikukumbushe mambo mawili tu ambayo umeyasemea UONGO na kujivika joho na UNAFIKI kwenye tamko lako.

1. Umetamka kwamba kutokana na uwepo wa sheria kandamizi ya Vyama vya Siasa, ushirikiano wa kisheria tumeona hauna maana kwetu kama Chama kwani Msajili wa Vyama hawezi kuidhinisha jambo linalokwenda kuiondoa CCM madarakani. Zitto, wewe ni muongo sana. Sana. Kifungu cha 11A cha Sheria ya Vyama vya Siasa inaruhusu USHIRIKIANO wa vyama vya siasa MIEZI MITATU kabla ya uchaguzi. Mikutano Mikuu ya Vyama husika lazima vipitishe maamuzi ya ushirikiano huo (coalition). Nikuulize, mngekaa lini? Miezi mitatu mazungumzo yenu na CHADEMA kuhusu ushirikiano yalikwamishwa na nini? Na nani? PIA Msajili wa Vyama hana mamlaka wala hapaswi KUIDHINISHA AU KURIDHIA ushirikiano wa vyama. Mkishasaini na kukabidhi BASI. Hata hili umeamua kuongopa.
2. Umetamka, “zaidi NINAMUAMINI LISSU kutokana na historia yake ya kupigania Haki za Watu”. Umesahau nani alikuwa kinara wa sisi kufukuzwa CHADEMA kwa aibu? Umesahau? Ni nani alikunyima HAKI ya kusikilizwa? Ni nani alisema Kamati Kuu isikusikilize wewe ni msaliti? Nani alisema hupaswi kuaminiwa kwa chochote? Unaongopa. Unakana hata kile nafsi yako inachokijua na ilichopitia kwa uchungu mkubwa. Umemsahau Tundu Lissu tuliekimbizana nae Mahakamani kusimamia haki zako za kutaka uenyekiti, kusikilizwa na heshima kwa jamii?

Nimalizie kwa kukukumbusha, umeshindwa kutamka nani achaguliwe kwenye Kata na Majimbo. Sio kwa bahati mbaya. Nafsi yako imekusuta. Umesema wapigiwe wagombea wenye ushawishi. Mbona mliweka wagombea ambao hawana ushawishi? Hutaki umma ujue kwamba Chadema walikugomea kukuachia baadhi ya majimbo na kata? Na sababu ni ile ile kwamba hawakuamini? Na sehemu ambazo hamjaweka wagombea ni kutokana na ukosefu wa fedha? Si ukiri tu?

Bernard Membe. Umemuacha kwenye mataa. Huyu wala simuhurumii. Alitaka mwenyewe. Angetumia akili kidogo tu angejua kona ambayo ungemuachia. Tatizo lake (na lako) ni uongo. Alikudanganya ana FEDHA nyingi za uchaguzi kumbe hata hela ya fomu ilikuwa ni mtihani kuitoa. Madeni aliyokuachia yatalipika kwa kudra za Mwenyezi Mungu. ILA hujataka hata kumzungumzia kwenye tamko lako. Wala hatma yake hujagusia. Kichaka kwamba WEWE BINAFSI utampigia kura Tundu Lissu ni cha kitoto sana. Wenye akili wataelewa. Imefika mwisho.

#JPMMitanoTena #CCM

Albert Gasper Msando,
MwanaCCM, Ndugu yako.
16/10/2020.
Hapa Zito amekula za uso.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom