Bekiri
Member
- Jun 30, 2013
- 14
- 63
Nitapiga KURA ya NDIO kuichagua CCM ifikapo tarehe 28 Oktoba 2020.
Nitaichagua kwa sababu sababu zifuatazo;
1. Ndicho Chama pekee kinacholinga na kutetea Muungano wa Tangangika na Zanzibar.
2. Ndicho chama pekee ambacho Wagombea wake wanapinga hadharani ushoga.
3. Ndicho chama pekee kimeimarisha misingi ya Uchumi wa Kitaifa.
4. Ndicho chama pekee ambaco kinaimarisha huduma za kijamii.
5. Ndicho Chama pekee ambacho kinaimarisha misingi ya maadili na uongozi bora.
6. Ndicho Chama pekee kinachodumisha TUNU za Taifa.
7. Ndicho Chama pekee kinaimarisha demokrasia nchini.
8. Ndicho chama pekee kinachoendeleza harakati za mapinduzi dhidi ya unyonge.
9. Ndicho Chama pekee kinachopinga uonevu na udhalimu duniani.
10. Ndicho chama pekee kinachowakilisha Wakulima na Wafanyakazi.
CCM NI SAUTI YA WATU, NITAICHAGUA TENA!!
#MitanoTena.
MenukaJr.
Nitaichagua kwa sababu sababu zifuatazo;
1. Ndicho Chama pekee kinacholinga na kutetea Muungano wa Tangangika na Zanzibar.
2. Ndicho chama pekee ambacho Wagombea wake wanapinga hadharani ushoga.
3. Ndicho chama pekee kimeimarisha misingi ya Uchumi wa Kitaifa.
4. Ndicho chama pekee ambaco kinaimarisha huduma za kijamii.
5. Ndicho Chama pekee ambacho kinaimarisha misingi ya maadili na uongozi bora.
6. Ndicho Chama pekee kinachodumisha TUNU za Taifa.
7. Ndicho Chama pekee kinaimarisha demokrasia nchini.
8. Ndicho chama pekee kinachoendeleza harakati za mapinduzi dhidi ya unyonge.
9. Ndicho Chama pekee kinachopinga uonevu na udhalimu duniani.
10. Ndicho chama pekee kinachowakilisha Wakulima na Wafanyakazi.
CCM NI SAUTI YA WATU, NITAICHAGUA TENA!!
#MitanoTena.
MenukaJr.