Habari zenu wana JF. Natumai ni wazima wa Afya kwa wale wagonjwa mwenyezi mungu aweze kuwaponya na kuwapa nguvu kama zamani.
Nilikuwa naomba msaada wenu mimi kama kijana mwenye uchu wa maendeleo na ninayependa kujikwamua kiuchumi.
Nipo arusha na nina project yangu nimeindaa ya ufugaji wa kuku wa mayai (Broiler) kwa Biashara mwisho wa mwaka.
*Mtaji wa kuweza kuanza nao ni kama shingapi
*Upatikanaji wa masoko
*Suala la chanjo
*Mabanda yanakuaje
*Pia changamato za biashara hii.
Naomba kupata mchanganuo wenu wana JF wenye uzoefu na biashara hii ya ufugaji wa kuku wa mayai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.