msulupwete
Senior Member
- Dec 9, 2013
- 155
- 59
Hongera na pongezi zikufikie raisi wetu mpendwa. Nafuatilia ziara yako vizuri kuna mengi nayafurahia hasa unaposimama kinara kuuliza fedha za jimbo zimetumikaje kuwanufaisha wananchi wako wanyonge. Napata furaha isiyokifani unavyowabana wabunge mpk wanajikamua kujibu maswali unayouliza ni dhahir unauchungu na fedha za walipa kodi .
Ombi langu kwako mh raisi uulize kila jimbo wala usiishie kwenye majimbo hayo tu, uulize kila ziara yako ili tujue wananchi maana tumepigwa sana.
Mie niseme tu mi ni mwanachama wa CCM sasa hawa waccm ndo nataman kuona wanabanwa zaidi ili kuonesha mfano maana CCM ndio ipo madarakani na ni lazima chama kioneshe mfano hadharani.
Natumai utanisikiliza mwananchi wako mnyonge
Ombi langu kwako mh raisi uulize kila jimbo wala usiishie kwenye majimbo hayo tu, uulize kila ziara yako ili tujue wananchi maana tumepigwa sana.
Mie niseme tu mi ni mwanachama wa CCM sasa hawa waccm ndo nataman kuona wanabanwa zaidi ili kuonesha mfano maana CCM ndio ipo madarakani na ni lazima chama kioneshe mfano hadharani.
Natumai utanisikiliza mwananchi wako mnyonge