G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,335
- 5,184
- Thread starter
- #41
Kweli kuliko kulala na nyongo bora aitoe.Tukana tuu mkuu usisale na kiholo
Kweli kuliko kulala na nyongo bora aitoe.Tukana tuu mkuu usisale na kiholo
Hayo ni matunda ya CCM chini ya Sizonje,Pole Pole aje ajivunie na hili maana kwenye mazuri wanasema ni yao lakini kwenye mabaya wanataka tuwe kitu kimoja.
Kweli mkuu hawa watu wametuaibisha..wasubiri wakishapanda mashua/boti lao litungue ili watumbukie baharini.....tumewachoka. Yaani hawa kuwapandisha lori ni kama vile kuwapendelea tu, wanahitaji boti lililo oza kabisa si vinginevyo.
Tanzania kama nchi imewahi kufanikiwa katika lipi kiasi tuwabebeshe lawama vijana wasio na elimu hali ya kwamba hata tuliowagharamia elimu wanaboronga?Si Utani wameniboa ile mbaya kama mtanzania mzalendo. Kiwango chao walichonacho ni tofauti na wachezaji wote wanaoshiriki hii michezo, Kwa kuwa wamefanya maksudi kutuaibisha, heshima yao ni kuwarudisha kwa usafiri wa lori na siyo ndege. Itapendeza zaidi
wale nyumbu wanaotokaga kenya wanapita masai-mara wanatokea serengeti watapita mwezi wa ngapi wawasubiri tu wachezaji wetu wavuke nao?
Hapa ni soka hayo ya siasa tulishachoka nayo.Tanzania kama nchi imewahi kufanikiwa katika lipi kiasi tuwabebeshe lawama vijana wasio na elimu hali ya kwamba hata tuliowagharamia elimu wanaboronga?
Tuanze na maprofesa wetu kwanza, maana kwa wenzetu Vyuo Vikuu ni sehemu za mavumbuzi, kwetu ni ofisi za kuchukulia mshahara.
Tulijua kws hapa a.mashariki tungepats wanyonge wetuHIVI BADO MNA IMANI NA TAIFA STARS? TANGU WAPGWE 7-0 NA ALGERIA NILISHARETIRE
Kweli kabisakocha sijui wamemuokota wapi hata timu aliyokuwa akifunisha haijulikani hawa TFF ni walewale hamna mabailiko
Umeongea point sana mkuuhiyo hela ya kuitunza taifa stars bora tupewe vijana tubet tu
Kwenye heading umeandika Taiga stars halafu humo ndani umeiongelea Kilimanjaro starsSijakuelewa mkuu..
hiyo hela ya kuitunza taifa stars bora tupewe vijana tubet tu