britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Jumapili hii najua mpo salama mkiwa mnaendelea kumsaka tycoon viunga vya Dsm,
So Mara ya kwanza kupigia kelele juu ya kushuka kwa elimu yetu, na ukiongea sana utaonekana unasumbua taifa,
Maana ya universal ni kwamba kila kitu, inamaana wa University uwe na simple general knowledge , Kuna vitu vidogo vidogo ambavyo mtu uliwahi kuvisoma uko Nyuma kabla ya kufika chuo kikuu lazima uvijue, Leo hii mwanafunzi wa chuo kikuu hajui mambo madogo madogo, alafu unamtetea eti siyo specialization yake??
MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU UNAPASWA KUWA NA UNIVERSAL KNOWLEDGE
Miaka ya hivi karibuni mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza ulizwa swali la darasa la tano akashindwa na kisingizio ikawa kwamba siyo specialization yangu!!!!
Mambo ambayo kabla hajafika chuo kikuu aliyapitia katika madarasa ya chini Leo hii anasema siyo specialization yake,
Uwezo wa wanafunzi wa vyuo vikuu wa sasa hivi wa kufikiri na kutunza kumbukumbu uko chini ya uwezo wa mwanafunzi wa kidato cha nne wa mwaka 1995 ambaye alikuwa vizuri kichwani
Je tunavyosoma huu uzi unajua kuna wanafunzi wa chuo kikuu hawajui kutofautisha Kati ya HERUFI NA TARAKIMU??
KONSONANTI NA IRABU?? Ukiwauliza eti siyo specialization yao,
Leo hii mambo ambayo sisi tuliyafanya tukiwa sekondari kabla ya kujiunga vyuo vikuu tuliyafanya hawawezi, mtafte mwanafunzi wa chuo kikuu akuchoree ramani ya Africa tu asiweke nchi achore boma tu, utaona maajabu,
Leo hiii muulize mwanafunzi wa chuo kikuu tofauti ya league of Nations na UNO hawezi, ambayo ni masuala ya form three ambayo kila mtu kayapitia hata kama hajayapitia angalau ayasome kwenye juhudi zake extra time ,lakin hawajui
Waulize Hata vitu simple tu kama UNO OAU ziliundwa mwaka gani,
Waulize tu wakwambie waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania hawamjui kabisa,
Waulize tu vitu simple sana kwamba Thomas Sankara ni wa wapi hawana majibu
Waulize tu tofauti ya namba kuanzia na zero kwenye kuziorodhesha na kuanzia na moja ipo ni ipi na majina ya orodha hizo mbili ni yapi hawajui
Nimeshangaa sana kukutana na mwanafunzi wa chuo kikuu hajui hata Africa ina nchi ngapi hahaha hatari sana tena
Mwanafunzi wa chuo kikuu wa sasa anajaza simu bundle kufuatilia Tanthiliya za kifilipino akili zimezama uko,
Wanafunzi wa UDOM washindwa kujibu neno ASAS lina tarakimu ngapi, aisee hatari - JamiiForums
So Mara ya kwanza kupigia kelele juu ya kushuka kwa elimu yetu, na ukiongea sana utaonekana unasumbua taifa,
Maana ya universal ni kwamba kila kitu, inamaana wa University uwe na simple general knowledge , Kuna vitu vidogo vidogo ambavyo mtu uliwahi kuvisoma uko Nyuma kabla ya kufika chuo kikuu lazima uvijue, Leo hii mwanafunzi wa chuo kikuu hajui mambo madogo madogo, alafu unamtetea eti siyo specialization yake??
MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU UNAPASWA KUWA NA UNIVERSAL KNOWLEDGE
Miaka ya hivi karibuni mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza ulizwa swali la darasa la tano akashindwa na kisingizio ikawa kwamba siyo specialization yangu!!!!
Mambo ambayo kabla hajafika chuo kikuu aliyapitia katika madarasa ya chini Leo hii anasema siyo specialization yake,
Uwezo wa wanafunzi wa vyuo vikuu wa sasa hivi wa kufikiri na kutunza kumbukumbu uko chini ya uwezo wa mwanafunzi wa kidato cha nne wa mwaka 1995 ambaye alikuwa vizuri kichwani
Je tunavyosoma huu uzi unajua kuna wanafunzi wa chuo kikuu hawajui kutofautisha Kati ya HERUFI NA TARAKIMU??
KONSONANTI NA IRABU?? Ukiwauliza eti siyo specialization yao,
Leo hii mambo ambayo sisi tuliyafanya tukiwa sekondari kabla ya kujiunga vyuo vikuu tuliyafanya hawawezi, mtafte mwanafunzi wa chuo kikuu akuchoree ramani ya Africa tu asiweke nchi achore boma tu, utaona maajabu,
Leo hiii muulize mwanafunzi wa chuo kikuu tofauti ya league of Nations na UNO hawezi, ambayo ni masuala ya form three ambayo kila mtu kayapitia hata kama hajayapitia angalau ayasome kwenye juhudi zake extra time ,lakin hawajui
Waulize Hata vitu simple tu kama UNO OAU ziliundwa mwaka gani,
Waulize tu wakwambie waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania hawamjui kabisa,
Waulize tu vitu simple sana kwamba Thomas Sankara ni wa wapi hawana majibu
Waulize tu tofauti ya namba kuanzia na zero kwenye kuziorodhesha na kuanzia na moja ipo ni ipi na majina ya orodha hizo mbili ni yapi hawajui
Nimeshangaa sana kukutana na mwanafunzi wa chuo kikuu hajui hata Africa ina nchi ngapi hahaha hatari sana tena
Mwanafunzi wa chuo kikuu wa sasa anajaza simu bundle kufuatilia Tanthiliya za kifilipino akili zimezama uko,
Wanafunzi wa UDOM washindwa kujibu neno ASAS lina tarakimu ngapi, aisee hatari - JamiiForums